sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hapana, anataka ajiunge na band yako, mfikirie.niko kabakabana band! Vipi unataka nije kukutumbuiza?
Hapana, anataka ajiunge na band yako, mfikirie.niko kabakabana band! Vipi unataka nije kukutumbuiza?
Unauliza maandamano syria? kuja haraka na yale mapigo ya ndembe ndembeniko kabakabana band! Vipi unataka nije kukutumbuiza?
kanitibua anaforce kupendwa kwa njia za ajabu ajabu
Dah! hapo red kuna kila dalili ya kubaniwa kukumbushia.Klorokwini ndie kaka nilienae, akizaliwa yeye mimi, kama umempenda sema niunganishe.. Ni handsome kama kakako nakuapia hutajuta kuwa nae!
Halaf nitonye anakuwa stage show wa band. Hili band litauza kweli aiseeHapana, anataka ajiunge na band yako, mfikirie.
Kwako sio rahisi, relax.Dah! hapo red kuna kila dalili ya kubaniwa kukumbushia.
Sio wewe kweli uliyeiharibu siku ya my wii?Aisee.... Pole kwa kuaribiwa cku.
Hapana huwa nafanya another way round.Sio wewe kweli uliyeiharibu siku ya my wii?
hehehe usjali baada ya hii post yaani nimerelax mpaka misuli ya kiungo cha uzazi. Leo ndio nimesibitisha kweli bana Mahaba hayazeekiKwako sio rahisi, relax.
Hahaha, umeonae? Pata picha huku klorokwini pale nitonye, kwa mbele kabakabana na SL wako na kangamoko afu zimelowa chapachapa, bendi isipouza kuna mkono wa mtu!Halaf nitonye anakuwa stage show wa band. Hili band litauza kweli aisee
Haya fanya sasa wifi acheke..Hapana huwa nafanya another way round.
Halaf huo mkono wa mtu wenyewe atakuwa husninyo tu, we unazani nani mwengine?Hahaha, umeonae? Pata picha huku klorokwini pale nitonye, kwa mbele kabakabana na SL wako na kangamoko afu zimelowa chapachapa, bendi isipouza kuna mkono wa mtu!
Ya kwangu na wewe ndio ambayo hayazeeki bana na hii imesababishwa na jinsi unavyoweza kulisakata kabumbu ukiwa uwanjani...hehehe usjali baada ya hii post yaani nimerelax mpaka misuli ya kiungo cha uzazi. Leo ndio nimesibitisha kweli bana Mahaba hayazeeki
Lawyer unamwita husninyo mchawi mbele ya umma wa jf? Subiri aje.Halaf huo mkono wa mtu wenyewe atakuwa husninyo tu, we unazani nani mwengine?
Ya kwangu na wewe ndio ambayo hayazeeki bana na hii imesababishwa na jinsi unavyoweza kulisakata kabumbu ukiwa uwanjani...
Huoni ya kaby na huyo alieimbiwa hiyo taarabu hapo yamezeeka?
Haya fanya sasa wifi acheke..
Dah acha nilog out. Akikuja mwambie nilikuwa natania bana asje akakasirika akaniloga kweliLawyer unamwita husninyo mchawi mbele ya umma wa jf? Subiri aje.
Ooh! Thanks!Consider it done..
Akija husninyo ntamwambia atusaidie kumpoteza kimazingara, nasikia ndio kazi yake huko Mpwapwa!Dah! mbona kila post zikienda mbele unazidi kuntamanisha, huyu nitonye sjui aliibukia wapi bana.