Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi Invisible ukisoma comments kama hizi unajisikiaje?
kwa nini wengine unawafungia na wengine unawaachia?
anyway nia yangu ilikuwa ni kupoint out kuwa sisi tuna matunda ya kila namna na nadhani Bakhressa anasindika matunda ambayo ni ya Tanzania
Iweje tunakunywa juice za kopo tena toka South Africa?
Viongozi wetu inabidi waanze kukemea hii tabia ya wao kupendavitu vya nje...wanatakiwa wawezeshe viwanda vya ndani na kupromote bidhaa zetu
Silencer, where have you been man? LOL
Who are these people? Speechless man
Hayo ni akinamama wamevaa vizuri. Ni picha nzuri kwa watu wenye heshima
Hayo ni akinamama wamevaa vizuri. Ni picha nzuri kwa watu wenye heshima
................
tz bila ya udini inawezekana. lkn baadhi ya wakiristo watz wakibadilika imani na kuona tz ni ya wote na sio mali yao