Whats wrong with this picture part 3

ILA HATUPO SERIOUS KATIKA MAMBO MENGI, cheki hii hapa huyu mwandishi anasema HAJAWAHI KUONA VITU OVYO OVYO KAMA HII, HILO NENO OVYO OVYO LIMETAFSIRIWA KATIKA LUGHA ALIYOANDIKIA KWA KISWAHILI NIMEPATA HILO, ASKARI HAWA HAWAPO SMART, HAWAJAJIPANGA INAVYOTAKIWA, HAWANA KANUNI MAALUMU WAPO WAPO TUUU, ANGALIA KOFIA ZAO, KILA MTU KAVAA ANANAVYOTAKA , YAANI HATA ASKARI WA KIKE YUPO RAFU RAFU, TUNACHEKWA NA NDIO MAANA TUNADHARAULIKA, VITU VINGINE SIO SERIKALI NI WATU WENYEWE HAWAJIJALI, au serikali imefanya watu wake wasijiali? hii ilikua wakati wanapokea meli ya kivita ya kichina juzi juzi dar
LINK HII HAPA http://blog.sina.com.cn/s/blog_53b718000100qyb7.html

53b71800h76716f5d89fd690.jpg


53b71800ha06e49901616690.jpg

53b71800ha06e5360552b690.jpg

53b71800ha06e42460e88690.jpg

48299164.jpg

[FONT=&#40657;&#20307;] <WBR><WBR><WBR><WBR><WBR><WBR>[/FONT]​

samahani picha ya chini haihusiani na magwanda na kofia za maafande wetu
 
Kama kawa ya Bongo, kuna mtu amechakachua tenda ya kununua uniform akaleta mitumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom