NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,331
- 47,070
ILA HATUPO SERIOUS KATIKA MAMBO MENGI, cheki hii hapa huyu mwandishi anasema HAJAWAHI KUONA VITU OVYO OVYO KAMA HII, HILO NENO OVYO OVYO LIMETAFSIRIWA KATIKA LUGHA ALIYOANDIKIA KWA KISWAHILI NIMEPATA HILO, ASKARI HAWA HAWAPO SMART, HAWAJAJIPANGA INAVYOTAKIWA, HAWANA KANUNI MAALUMU WAPO WAPO TUUU, ANGALIA KOFIA ZAO, KILA MTU KAVAA ANANAVYOTAKA , YAANI HATA ASKARI WA KIKE YUPO RAFU RAFU, TUNACHEKWA NA NDIO MAANA TUNADHARAULIKA, VITU VINGINE SIO SERIKALI NI WATU WENYEWE HAWAJIJALI, au serikali imefanya watu wake wasijiali? hii ilikua wakati wanapokea meli ya kivita ya kichina juzi juzi dar
LINK HII HAPA http://blog.sina.com.cn/s/blog_53b718000100qyb7.html
[FONT=黑体] <WBR><WBR><WBR><WBR><WBR><WBR>[/FONT]
samahani picha ya chini haihusiani na magwanda na kofia za maafande wetu