What's wrong? mbona umeme haukatiki?

HATUKUBALI, TUNATAKA GIZA LETU!
Haiwezekani wakati Julai Makamba (jina lingine la Januari linalotokana na mwezi ambao Dowans ilisajiliwa huko Costa Rica, na mzee Makamba akaamua kumpa mwanae kwa heshima ya Rostam) anaelekea kufanikiwa kuwashawishi Wabunge kupitisha mabadiliko ya sheria ya manunuzi ili kuipa Serikali mamlaka ya kununua mitambo chakavu (jicho lote liko kwenye mitambo ya Dowans), mvua zinaanza kunyesha na kuifanya Mtera kuzalisha umeme zaidi; wakati dili linakaribia kuiva huku RA na EL wanachekelea, halafu giza linatoweka! HAIWEZEKANI, HAIWEZEKANI! TUTAANZISHA MAANDAMANO MAKUBWA KAMA YA CHADEMA KUPINGA UNYANG'ANYI HUU WA DILI, WA MVUA KUNYESHA NA KUANZA KUJAZA BWAWA LA MTERA!

Ehh we Mkaka Vipi..?
 
Jamani tulishasema kuwa ifikapo Machi mwishoni hakuna mgao TZ sababu mabwawa yatakuwa yamejaa.

Issue ni ufisadi wa temp generators na mitambo ya Dowans ndio inasababisha serikali na POLITICIANS kukaa kama wana vichaa.
Lakini sasa mambo yote safi, tender za emergency generators zimeshatoka na EL & RA wako busy kupata through 3rd parties.

Hakuna need ya TEMP Generators, TEMP SOLUTION ni serikali kununua FUEL YA IPTL for the next 12 months na KUORDER 200 MW GAS GENERATORS GE/WARTISLA ili ziwe nchini na kufungwa by DEC 2011. Ukiongeza na 160MW ambazo ziko njiani kuwa ready by late 2011, sulaa la mgao kwa 2012 halitakuwepo.

Lakini mabingwa wa ufisadi hawatafanya hivyo, watabuni solutions ambazo zinaiweka TANESCO WEAK FINANCIALLY SIKU ZOTE, kwa kutunga makampuni ili yauze umeme kwa Tanesco, na TANESCO ipangiwe bei chini ya cost na EWURA ili Tanesco wawe hawana jinsi.

Jiulize kwenye masuala ya umeme TZ, SONGAS Wako Profitable, IPTL wako Profitable, Artumas wako Profitable, Dowans wako Profitable, ila ni Tanesco tu ndio kila siku ina DEFICIT.

Halafu vichaa wengine wanataka NSSF iown KIWIRA ili Of COurse iwe Profitable, lakini ukitoa mawazo TANESCO waown na kuoperate KIWIRA utaona wanasiasa kama wanapandwa na kichaa wakikataa Kabisa kabisa. Wao wanataka Tanesco ifanye kazi ngumu ya Distribution lakini angle yenye profit ya Generation hiyo ni kwa Makampuni uchwara. Ujiulizi mbona serikali imetunga sheria makampuni independent waweze kugenerate power, lakini hakuna sheria ya Independent Distributors?? Jibu ni hakuna profit kabisa hapo.

God Bless Tanzania.

Nakubaliana na wewe mkuu!!Umenena vema.
 
HATUKUBALI, TUNATAKA GIZA LETU!
Haiwezekani wakati Julai Makamba (jina lingine la Januari linalotokana na mwezi ambao Dowans ilisajiliwa huko Costa Rica, na mzee Makamba akaamua kumpa mwanae kwa heshima ya Rostam) anaelekea kufanikiwa kuwashawishi Wabunge kupitisha mabadiliko ya sheria ya manunuzi ili kuipa Serikali mamlaka ya kununua mitambo chakavu (jicho lote liko kwenye mitambo ya Dowans), mvua zinaanza kunyesha na kuifanya Mtera kuzalisha umeme zaidi; wakati dili linakaribia kuiva huku RA na EL wanachekelea, halafu giza linatoweka! HAIWEZEKANI, HAIWEZEKANI! TUTAANZISHA MAANDAMANO MAKUBWA KAMA YA CHADEMA KUPINGA UNYANG'ANYI HUU WA DILI, WA MVUA KUNYESHA NA KUANZA KUJAZA BWAWA LA MTERA!

Nitashiriki maandamano!
 
Jamani tulishasema kuwa ifikapo Machi mwishoni hakuna mgao TZ sababu mabwawa yatakuwa yamejaa.

Issue ni ufisadi wa temp generators na mitambo ya Dowans ndio inasababisha serikali na POLITICIANS kukaa kama wana vichaa.
Lakini sasa mambo yote safi, tender za emergency generators zimeshatoka na EL & RA wako busy kupata through 3rd parties.

Hakuna need ya TEMP Generators, TEMP SOLUTION ni serikali kununua FUEL YA IPTL for the next 12 months na KUORDER 200 MW GAS GENERATORS GE/WARTISLA ili ziwe nchini na kufungwa by DEC 2011. Ukiongeza na 160MW ambazo ziko njiani kuwa ready by late 2011, sulaa la mgao kwa 2012 halitakuwepo.

Lakini mabingwa wa ufisadi hawatafanya hivyo, watabuni solutions ambazo zinaiweka TANESCO WEAK FINANCIALLY SIKU ZOTE, kwa kutunga makampuni ili yauze umeme kwa Tanesco, na TANESCO ipangiwe bei chini ya cost na EWURA ili Tanesco wawe hawana jinsi.

Jiulize kwenye masuala ya umeme TZ, SONGAS Wako Profitable, IPTL wako Profitable, Artumas wako Profitable, Dowans wako Profitable, ila ni Tanesco tu ndio kila siku ina DEFICIT.

Halafu vichaa wengine wanataka NSSF iown KIWIRA ili Of COurse iwe Profitable, lakini ukitoa mawazo TANESCO waown na kuoperate KIWIRA utaona wanasiasa kama wanapandwa na kichaa wakikataa Kabisa kabisa. Wao wanataka Tanesco ifanye kazi ngumu ya Distribution lakini angle yenye profit ya Generation hiyo ni kwa Makampuni uchwara. Ujiulizi mbona serikali imetunga sheria makampuni independent waweze kugenerate power, lakini hakuna sheria ya Independent Distributors?? Jibu ni hakuna profit kabisa hapo.

God Bless Tanzania.

Sio sahihi kusema Serikali imetunga sheria ya makampuni indendent kugenerate umeme pekee yake. Hiyo sheria inaruhusu makampuni binafsi kugenerate, transmit and ku-distribute umeme. EWURA imepewa mamlaka ya kutoa leseni kwa kampuni zote ambazo zina nia ya kushiriki ktk sekta hii. Ndo maana Leo hii Umoja Light wanaleseni ya kusambaza umeme kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Hili kisingewezekana kwa sheria ya zamani
 
miujiza ya kikombe cha babu hii... siku ya tatu leo sijauona mgao mpaka nimeumiss aiseee
 
Jamani tulishasema kuwa ifikapo Machi mwishoni hakuna mgao TZ sababu mabwawa yatakuwa yamejaa.

Issue ni ufisadi wa temp generators na mitambo ya Dowans ndio inasababisha serikali na POLITICIANS kukaa kama wana vichaa.
Lakini sasa mambo yote safi, tender za emergency generators zimeshatoka na EL & RA wako busy kupata through 3rd parties.

Hakuna need ya TEMP Generators, TEMP SOLUTION ni serikali kununua FUEL YA IPTL for the next 12 months na KUORDER 200 MW GAS GENERATORS GE/WARTISLA ili ziwe nchini na kufungwa by DEC 2011. Ukiongeza na 160MW ambazo ziko njiani kuwa ready by late 2011, sulaa la mgao kwa 2012 halitakuwepo.

Lakini mabingwa wa ufisadi hawatafanya hivyo, watabuni solutions ambazo zinaiweka TANESCO WEAK FINANCIALLY SIKU ZOTE, kwa kutunga makampuni ili yauze umeme kwa Tanesco, na TANESCO ipangiwe bei chini ya cost na EWURA ili Tanesco wawe hawana jinsi.

Jiulize kwenye masuala ya umeme TZ, SONGAS Wako Profitable, IPTL wako Profitable, Artumas wako Profitable, Dowans wako Profitable, ila ni Tanesco tu ndio kila siku ina DEFICIT.

Halafu vichaa wengine wanataka NSSF iown KIWIRA ili Of COurse iwe Profitable, lakini ukitoa mawazo TANESCO waown na kuoperate KIWIRA utaona wanasiasa kama wanapandwa na kichaa wakikataa Kabisa kabisa. Wao wanataka Tanesco ifanye kazi ngumu ya Distribution lakini angle yenye profit ya Generation hiyo ni kwa Makampuni uchwara. Ujiulizi mbona serikali imetunga sheria makampuni independent waweze kugenerate power, lakini hakuna sheria ya Independent Distributors?? Jibu ni hakuna profit kabisa hapo.

God Bless Tanzania.

Kula tano nene sana.....
Mhandisi mwandamizi, wa mifumo na njia kuu za usafirishaji wa umeme
 
Mkuu tatizo langu ni heading yako. Nimecheka mpaka mbavu zinauma. Yani watanzania tunaona kama kuna tatizo kwa sababu tumepata nishati! Yan mtu anapata haki yake ila anaona kama nafasi ya upendeleo,jamani! Unankumbusha mtumishi mmoja alitoka serikalini mshahara wa laki3.5 akaja mbeya kwenye kampuni ya vinywaji mshahara 1.5mil.nlicheka aliponiambia,kaka sijui wamesahau?mbona kama scale yangu imekuwa tofauti na nlivojua? Mbona ela zitazidi matumizi?? Nlicheka sana nkamwambia kijana iyo ni haki yako! Mkuu nami nasema ni haki yetu kupata umeme wala sitawashukuru kwani wametimiza wajibu wao,achana na usanii wao wa eti wanasubiri mvua,wapi?!!
 
Technical explanation...Kidatu is running @ full capacity as its small dam is full due to rains in MG

IPTL has gone up to 80MW from 10MW and the past few weeks Songas gas was down now its full capacity

If Dowans is injected to the grid it will ease but not finish loadshedding...Hale and Nyumba ya Mungu r running @ full capacity

Mtera is only 40 MW bt tht is understandable

Hii heading ya topic iko kikomedi komedi na inakufanya ucheke tu!

Nsiande when it comes to mambo ya UMEME, you are my girl.
Sihitaji source maana wewe ni source yenyewe.

Bless you!
 
senki yuu foo yuzufulu nuuzi, senkyuu batani naigonga haraka iwezekanavyo
IPTL went up to 70MW from 10MW. Sirikali imekubali kununua mafuta. Migodi also imepunguziwa umeme. And Dowans, InshaAllah will be switched on soon. And mgao will be history until for now.
 
tatizo la nchi hii suala la PR si la muhimu ndio maana watanzania tumezoea kuhisihisi na kuvumisha mambo, tanesco wanapaswa kutujulisha ikiwa mgao umepungua au mzimaji ameenda kwa babu kupata kikombe bado hajarudi...hv tanesco wana wwebsite inayokuwa updated?? Au wameshauza majenereta yao??
 
Back
Top Bottom