Whats that??

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,850
155,799
Whats that???


there was a little kid and she wanted to take a shower with her mom and her mom said es when they were in the shower the little girl looked up and said "mommy whats that?" and her mom said
" thats my garden"
the next day the little girl wanted to take a shower with her dad and he said ok when they were in the shower the littlegirl looked up and asked
"daddy whats that?"
and her dad said
"thats my snake"
that night she got scared and slept with her mom and dad during the night she woke up and said
"MOMMY, MOMMY!THE SNAKES GOING IN THE GARDEN!!!!!!


 
moral of the story,
haijalishi watoto wetu ni wadogo kiasi gani,
hatutakiwi na wala hatupaswi kuoga nao,
watatuumbua.
 
Huyo mtoto akikuwa hivi atakumbuka huo ujinga aliofanyiwa

Atakumbuka for sure!

Mi nakumbuka ushenzi fulani ambao nilifanyiwaga na mdada mmoja nikiwa mdogo, kama 6yrs.

Na mbaya zaidi huwa ninakutana nae hadi leo huyo M'mama, sijui naye bado anakumbuka alichonifanyiaga...

Memories in children dont go away!...

Watafanyiwa kitu wasielewe wakati huo, but when they grow up they start recalling, and add each piece to make a readable composition!
 
Whats that???


there was a little kid and she wanted to take a shower with her mom and her mom said es when they were in the shower the little girl looked up and said "mommy whats that?" and her mom said
" thats my garden"
the next day the little girl wanted to take a shower with her dad and he said ok when they were in the shower the littlegirl looked up and asked
"daddy whats that?"
and her dad said
"thats my snake"
that night she got scared and slept with her mom and dad during the night she woke up and said
"MOMMY, MOMMY!THE SNAKES GOING IN THE GARDEN!!!!!!


You are killing me Bujibuji kwa hii joke, teh tehe hahahahaha!!!.......lol
 
you are killing me bujibuji kwa hii joke, teh tehe hahahahaha!!!.......lol
kweli kabisa..
Tena kuna watu walikuwa wakiishi nyumba ya kupanga na walikuwa na watoto wawili,
mkubwa alikuwa na umri wa miaka minne, na mdogo alikuwa na umri wa miaka miwili.
Siku moja usiku wakati wa mchezo wa baba na mama, mchezo ukakolea utamu, manjonjo na malavidavi wakajisahau.
Na walikuwa na kawaida ya kulala kitanda kimoja na watoto wao.
Sasa mambo yaliponoga wakakipiga kitoto kile kidogo cha miaka miwili teke, kikaanguka huko chini,
wakasimamisha pambano kwa muda , wakazugazuga hapo na kukikibembeleza.
Baada ya kama dakika ishirini kupita wakaanza tena kulisakata lile gozi la mapenzi huku wakiamini fika kuwa watoto wameshalala fofofo,
kale katoto kenye umri wa miaka minne, kwa kumuonea huruma mdogo wake kakasema..
Wee jeni amka ujishike vizuri wameanza tena mchezo wao wasije wakakuangusha tena.

Kwa hiyo jamani kulala na watoto kutatuadhiri siku moja.
 
Back
Top Bottom