Whats JK reading ?

25177793.jpg
 
GT,

Sijui kama umenielewa. Naomba kwanza nirudie nilicho sema: Fareed Zakaria, kwa sababu ni mgeni aliyepewa kazi kubwa Newsweek na Uraia, uchambuzi wake wa foreign policy unakuwa wa kuuma na kupuliza kwa sababu, kwa mawazo yangu, anaogopa backlash ya kuonekana hana allegience na US kuliko India.

Sasa, ili upangurue hoja yangu kwa kutumia mifano ya watu kama Zakaria, kama ulivyo jaribu kufanya, ilibidi unipe mifano ya watu kama Zakaria, ambao wanaongea huru wakikosoa siasa ya nje ya Marekani.

Bahati mbaya watu ulionitajia nao aidha wana sapoti Siasa za Marekani au hawasemi lolote kuhusu siasa za Marekani. Zbigniew Brzezinski alikuwa foregn policy hawk, na tunajua Siasa ya nje ya Marekani is mostly hawkish. NI hii military industrial complex ya kuwa polisi wa dunia. Kwa hiyo mfano uliotoa, sana sana una sapoti pointi yangu mimi. Mgeni ambae anashindwa kuwachana wenyeji wake. Sijui unanielewa?

Na Morgenthau, kama unamwongelea Hans Morgenthau, yule alikuwa ni theorist wa foregn policy za dunia kwa ujumla. Hajulikani specifically kwa kuichana Siasa ya nje ya US. Alikuwa anaichana zaidi Nazi Germany. Tena yule ndio cha mtoto, cha mtoto kabisa ambae asinge thubutu kuichana US policy. Kwa sababu wakati anakimbia Unazi kuja US, Marekani ndio ilikuwa inawaokoa wayahudi katika vita vya dunia. Na yeye, kama Einstein, asingeweza kuikosoa American foregn policy.

Sasa, achana na Fareed Zakaria. Angalia huyo samaki mkubwa mwingine: Lini umesikia Einstein, ambae alikuwa anaongelea sana Siasa, lini ulisikia anakosoa Marekani, zaidi ya kuiimbia sifa kwamba anapenda wanavyo jenga nyumba za mbao?

Kuhani,

I beg to disagree based on what I am reading from Mr. Zakaria's new book.

The below passages from the book will speak for him

Page 34-35

Nanukuu

In many countries outside the Western world, there is pent-up frustration with having to accept an entirely Western or American narrative of world history - one in which they are miscast or remain bit players. Russians have long chaffed at the standard narrative oabout World War II, in which Britain and the Unites States heroically defeat the forces of fascist Germany and Japan.Given mainstream U.S historical accounts, from Stephen Ambrose to Ken Burns, Americans could be forgiven for believing that Russia played a minor part in the decisive battles against Hitler and Tojo.In fact, the eastern front was the central arena of Worl War II. It involved more land combat than all othertheaters of the war put together and resulted in thirty million deaths. It was where three quarters of all German forces fought and where Germany incurred 70 percent of its casualties.The European front was in many waysa sideshow, but in the West it is treated as the main event. As the writer Benjamin Schwarz has pointed out, Stephen Ambrose "lavishes [attention] on the U.S-British invasion ofSicily, which drove 60,000 Germans from the island, but completely ignores Kursk - the largest battle in history, in which at least 1.5 million Soviets and Germans fought, and which occurred at exactly the same time...Much as it may take us squirm, we must admit that the struggle against Nazi germany... was primarily, as the great military historian John Erickson called it, "Stalin's war.

Or consider the perspective on the same war from another spot on the map.An Indian friend explained to me, "For Britain and America, World War II is a heroic struggle in which freedom triumphs over evil, For us, it was a battle in which Britain commited India and its armed forces without bothering to consult us.London told us to die for an idea of freedom that it was at that very moment brutally denying to us

Mwisho wa kunukuu

He goes on like this for some twelve more pages (I do not wish to violate the strict copyright code policed by the rather selective-enforcer GT :) ) until the end of chapter three.

Clearly not one kissing up, is he?
 

Hizi rapidshare nenda kwenye sehemu ya free ..download part 1..kisha subiri 1 hr download part 2 kisha zitransfer kwenye MY DOCUMENTS then hamishia kwenye MP3 player yako au unaweza kuburn kwenye CD


okpk5l.jpg

Release Date: October 17, 2006
Format: MP3
Audio: 48kbps
Publisher: RH Audio
ISBN-10: 0739334085
Language: English
Size: 126MB

Description: - The Audacity of Hope:
Thoughts on Reclaiming the American Dream
By: Barack Obama
PART1
http://rapidshare.com/files/99596561...ySpunkins1.rar

PART 2
http://rapidshare.com/files/99600823...ySpunkins2.rar

stay tuned for this

Dreams_From_My_Father.jpg
Mkulu files hizo nimecheki zinanipa error,naomba ucheki kama ipo sawa utuwekee vema.
 
mjomba utakuwa umechelewa hizo linkz zimeshakufa

nitajaribu kukutafutia links zingine mpya
 
a lot of ppl here have the obama syndrome, I hope i do not catch it
please do not get me wrong, i admire the guy, and if I was to vote, I would have to think again not to vote for him.
But.
To mee it seems that too much attention is paid to the usa elections.
 
Membe asome this new book ambacho kinaelezea DON RUMSFELD alivyokuwa anambully CONDI RICE kwenye mikutako kwenye situation room pale WEST WING

41LtsH5LG9L._SS500_.jpg


By the way ANGLER ni secret service code name ya DICK CHENEY
 
Reading informs the mind, which helps in decision making and leading.

Unless you advocate idiocracy, I cannot understand why you would not want a reading president.

I am not saying he should not read but it's not his main job. He must have read enough by the time he was elected.

Rumors has it that Mbeki was reading too much and in doing so he stumbled upon those wacky theories of HIV/AIDS being caused by poverty rather than viruses.
 
Jk akiwa same mkoani kilimanjaro, aliomba udhuru kwenda kuangalia ze comedy ya akina masanja
 
MKUU TARATIBU,imani yako ya KIDINI am sure inasema "USIMUITE MWENZAKO KWA JINA ASOLIPENDA" am sure kumuita kiongozi wa nchi jina hilo is not fair.........twende mbele tukirudi nyuma!!!!!! unasahau ile aya inayosema "tuwaheshimu viongozi wetu"????? ni mawazo tu mkuu.

Jiheshimu uheshimiwe. Heshima inakuja unapojiheshimu haijarishi wewe ni nani na unacheo gani. Muungwana amesahau kujiheshimu sasa unataka wananchi tufanye nini?
 
I am not saying he should not read but it's not his main job. He must have read enough by the time he was elected.

Rumors has it that Mbeki was reading too much and in doing so he stumbled upon those wacky theories of HIV/AIDS being caused by poverty rather than viruses.

You seem to entertain the idea that there is such a thing as "reading enough"

Msomi anatakiwa kuwa na tabia ya kusoma kila mara, kuongezea alipokuwa jana.Juzi wakina Friedman walikuwa wanasema "The World is Flat" and basically advocating for globalisation na deregulation, leo katika "Hot, Flat and Crowded" wanabadili mwendo na kutuambia serikali zina role kubwa katikaq "The Green Revolution".Sasa kama wewe unaaamini kuna such a thing as "kusoma vya kutosha" unapotosha dhana nzima ya usomi.

Waliosema elimu haina mwisho hawakukosea.

Kiongozi ili kuongoza vizuri inabidi awe na information, awe anachangamsha ubongo kwa kusoma.

with attitudes like these do we have the nerve to wonder when our leaders make a fiasco of our economy and everything else?
 
JK kama hasomi basi hataki tu, he has alot of time kwenye ndege! i bet kwa safari anazokwenda ingelikuwa kila safari anasoma kitabu sasa angekuwa ameshajaza shelf

Aache kunjinywea mvinyo kwenye ndege na kusikiliza muziki ahangaike kusoma mavitabu!
 
Jk akiwa same mkoani kilimanjaro, aliomba udhuru kwenda kuangalia ze comedy ya akina masanja

Mkuu unafikiri ni kwa nini raia wanampenda JK?

TZ ni nchi ambayo less than 1% ya raia wana degree za Chuo Kikuu so go figure! Raisi anayependa Ze Comedy na anayependa ku-hang na Mr. Cooper au Seinfield unadhani ni nani atakeyapata kura at the end of the day?

Muulize Prof. Mwandosya analijua hilo.

JK anayeonekana kwa nje (public image) sio lazima awe JK wa ndani.
 
You seem to entertain the idea that there is such a thing as "reading enough"

Msomi anatakiwa kuwa na tabia ya kusoma kila mara, kuongezea alipokuwa jana.Juzi wakina Friedman walikuwa wanasema "The World is Flat" and basically advocating for globalisation na deregulation, leo katika "Hot, Flat and Crowded" wanabadili mwendo na kutuambia serikali zina role kubwa katikaq "The Green Revolution".Sasa kama wewe unaaamini kuna such a thing as "kusoma vya kutosha" unapotosha dhana nzima ya usomi.

Waliosema elimu haina mwisho hawakukosea.

Kiongozi ili kuongoza vizuri inabidi awe na information, awe anachangamsha ubongo kwa kusoma.

with attitudes like these do we have the nerve to wonder when our leaders make a fiasco of our economy and everything else?

When you are a leader it's better to read people than books. That said, I believe the guy (JK) does refresh his mind either by reading books or by other means.
 
Back
Top Bottom