Dah wakikusikia wenyewe utakimbia na nguo mkononi asee............But anyway how cheap? Hiyo cheapness yao iko angle ipi?
totaly wrong hakuna watu expensive kama hao uliza hata mahari hawalipiwi laki kama wakwereWakule ni very cheap.....
hawawakuti watu wabukoba hawa ni showingshowing nshomile!!!!inaonekana jamaa zako ndo wameolewa au kuoa toka pande hizo lakini kiukweli sehemu zote wanaoana tu sema Arusha na Moshi labda kitu kingine wnapenda harusi za kuonyesha sana .
Mchaga, muarusha, wenzangu wa kule babati(a.k.a rough road) na mto wa mbu they are very cheap na wanaume wanawapata kirahisi sana kuliko msukuma yeye atakuzungusha zungusha sana mwishowe unakata tamaa....
Cheapness yao ipo pale unapo fungandoa most of them wanakua wamejitosheleza kuanza maisha mfano wanakua na maisha yao kabisa.
Huumizi kichwa kutafuta vyombo na mahtaji menyi ya kuanzia maisha.... Oa kusini uone shughuri yake
Arusha tuna watoto wakali mkuu usipimeEti jamani nisaidieni kujua hili, kwenye siku za hivi karibuni karibu harusi 75% nilizohudhuria au kusikia basi bi harusi wanatoka Arusha au Kilimanjaro. Kunani huko siku hizi wanaume wote wanakimbilia pande hizo?
Chagga si ndi wanabeba jina la Album Tz. Now, ...wamewafunika WAhaya. Hadi kwenye Mambo yetu yale
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Labda anaangalia 'total life cycle cost'...wategemezi wachache, watafutaji etc! Ingawa hizi generalizations na stereotyping zinaweza kuleta shida sana hizi!.....But anyway how cheap? Hiyo cheapness yao iko angle ipi?
Tanzania nzima hakuna mwanamke cheap kama msukuma. ninapoongea hapa nipo kwa wasukuma naishi huko, haki ya kweli tangu nianze kutongoza wasukuma, si cha mke wa mtu au nini hakuna ambaye alishawahi kukataa. hadi huwa najistukia...zamani nilijua wagumu, lakini nimekuja kuona ni mojawapo ya wanawake malaya kupita kiasi, kuliko hata na wahaya na wanyakyusa ambao tumezoea kuwatukana...wasukuma noma....Mchaga, muarusha, wenzangu wa kule babati(a.k.a rough road) na mto wa mbu they are very cheap na wanaume wanawapata kirahisi sana kuliko msukuma yeye atakuzungusha zungusha sana mwishowe unakata tamaa....