Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Najua ni ijumaa nyingine ya furaha hasa kwa wale wanaopokea mishahara kuanziatar 18 nk na leo wameungana na kwa furaha na wale wanaosubiri mpaka tar 37 ama 40tena wanakunywa na kufurahi kwa pamoja nyama choma ...kwa kweli mungu ni wa rehemaingawa atujui familia wameacha nini maaaaaannnnnn sisemiila naamini walipovishana pete walikuwa wawili...basi sie ndgu zanguni najua watanzaniatuna kaugonjwa cha kukumbuka lakini si mbaya kukumbushana hili ...uwe makini na weekendwhatever you do dont over do italamsiki