Emasa
Member
- Nov 14, 2008
- 38
- 2
Nakumbuka one of the days back nikiwa kwenye lecture niliazima memory stick kutoka kwa dada mmoja niliekuwa nimekaa nae karibu humo Lecture, haikua mara ya kwanza yeye au mimi kutumia vitu vya mweniziwe>
Siku hiyo sikua na memory stick yangu na nilihitaji kuhamisha vitu kwenye kwenye latop ya rafiki yangu, sasa badala y akuhamisha moja kwa moja nikaanza kuangalia mafaili yake dah huku Kompyuta yangu ikiwa na sauti ya juu ghafla sauti za maraha watu watu wakifanya mapenzi kutokea kwenye lile faili duuh OMG nilikosa nguvu hata ya kuzima Kompyuta,nikabaki nimelegea mapigo ya moyo yakaenda kasi huku kila mtu akinitazama it was so embarrassing, mpk leo nikifikiria siamini kama kile kitu kilitokea mikononi mwangu dah! nilikoma kuangalia visivyo nihusu.
Siku hiyo sikua na memory stick yangu na nilihitaji kuhamisha vitu kwenye kwenye latop ya rafiki yangu, sasa badala y akuhamisha moja kwa moja nikaanza kuangalia mafaili yake dah huku Kompyuta yangu ikiwa na sauti ya juu ghafla sauti za maraha watu watu wakifanya mapenzi kutokea kwenye lile faili duuh OMG nilikosa nguvu hata ya kuzima Kompyuta,nikabaki nimelegea mapigo ya moyo yakaenda kasi huku kila mtu akinitazama it was so embarrassing, mpk leo nikifikiria siamini kama kile kitu kilitokea mikononi mwangu dah! nilikoma kuangalia visivyo nihusu.