What was your most embarrasing moment...?

Nakumbuka one of the days back nikiwa kwenye lecture niliazima memory stick kutoka kwa dada mmoja niliekuwa nimekaa nae karibu humo Lecture, haikua mara ya kwanza yeye au mimi kutumia vitu vya mweniziwe>
Siku hiyo sikua na memory stick yangu na nilihitaji kuhamisha vitu kwenye kwenye latop ya rafiki yangu, sasa badala y akuhamisha moja kwa moja nikaanza kuangalia mafaili yake dah huku Kompyuta yangu ikiwa na sauti ya juu ghafla sauti za maraha watu watu wakifanya mapenzi kutokea kwenye lile faili duuh OMG nilikosa nguvu hata ya kuzima Kompyuta,nikabaki nimelegea mapigo ya moyo yakaenda kasi huku kila mtu akinitazama it was so embarrassing, mpk leo nikifikiria siamini kama kile kitu kilitokea mikononi mwangu dah! nilikoma kuangalia visivyo nihusu.
 
Nakumbuka one of the days back nikiwa kwenye lecture niliazima memory stick kutoka kwa dada mmoja niliekuwa nimekaa nae karibu humo Lecture, haikua mara ya kwanza yeye au mimi kutumia vitu vya mweniziwe>
Siku hiyo sikua na memory stick yangu na nilihitaji kuhamisha vitu kwenye kwenye latop ya rafiki yangu, sasa badala y akuhamisha moja kwa moja nikaanza kuangalia mafaili yake dah huku Kompyuta yangu ikiwa na sauti ya juu ghafla sauti za maraha watu watu wakifanya mapenzi kutokea kwenye lile faili duuh OMG nilikosa nguvu hata ya kuzima Kompyuta,nikabaki nimelegea mapigo ya moyo yakaenda kasi huku kila mtu akinitazama it was so embarrassing, mpk leo nikifikiria siamini kama kile kitu kilitokea mikononi mwangu dah! nilikoma kuangalia visivyo nihusu.
duh hapo unaweza kuomba ardhi ipasuke, umenikumbusha jamaa yangu mmoja alikuwa ana download file alitumia na jamaa yake X sasa ikawa imesoma kuwa remaining 20 minutes akawa anaendelea na kazi nyingine mara bosi mmama akaja akawa anamwelekeza ripoti fulani kwenye PC ya jamaa wakati wanaendelea lile file la X likamaliza kudownload likalipuka vuuup kwenye desktop unaambiwa zinga la nyuchi kwenye screen , yule bosi (umri kaka wa mama yake) ilibidi aondoke akamwambia maliza mambo yako halafu uniite tuendelee
 
Habari za asubuhi wapendwa....

Nilipoamka leo asubuhi, niliamka na hii kumbukumbu kichwani - kitu kilichotokea several years ago...it was funny somehow but quite embarrasing!!

Nilikuwa chuo na nilikuwa naelekea kwenye moja ya madarasa kukutana na rafiki zangu kwa ajili ya assignment fulani, nilipokuwa naongea nao before walinielekeza darasa walilomo but apparently when they got there wakakuta linatumika and before they got to inform me I was there already...

"I remember that before I was heading to meet them we had this argument I dont remember exactly what it was about, but I remember the noise I made as I walked towards that classroom.....

"guys guys guess what! I beat all of you....hahahah am sooo loving my self....am sooo smarrrrr" there sikuweza kumalizia sentensi ya mwisho...imagine while I was making that noise nilikuwa naruka ruka na kurusha mikono juu but sikuwa nimeangalia vizuri ndani ya lile darasa kulikuwa kuna nani.....

My dear lord....darasa lilikuwa limejaa lecturers practically all of the administration na katika wote hao most of them who knew me walinifaham kama the most silent...quiet being they have ever known!! some of them even made examples of me darasani....dah!!
It was such an embarrassment...I couldnt even beggin to apologize I immediately went into paralysis!!

My friends had the laugh of the month...they were at me with it almost everytime I tried to outsmart them! I cannot live to forget that day...and today I woke up smillin at myself....such a record I made!!

what was your most embarrasing moment...?!

Mimi kila nikikumbuka cku hii najikuta nacheka na kuckitika alltogether, nilikuwa cjawahi kufanya kazi na multnational organisation, sasa ndipo nilipo(UN) yapata miezi kadhaa sas, hapa officn wageni tulioingia cku moja ktk kitengo ninachofanyia kazi tulikuwa kama 10 hivi, mtanzania pekeyangu, yaani tena mwafrika peke yangu, sasa ile wiki ya kwanza tumeingia mmoja wa mabosi ktk kitengo alikuwa naondoka ,kahamishiwa New Yrk, ikabidi afanyiwe part ya kumuaga, basi ikaandaliwa Lunch maalumu kwaa ajili yake, na huko ndipo mastaf wapya tulitakiwa tuwepo kwa ajili ya utambulisho, bwana we kasheshe ndipo lilipoanzia huko , maana ilikuwa ktk kijimgahawa kimoja A-town kinaitwa Blue Heron, mwanume kufika pale watu wamesha zunguka meza kila kikundi yakwake, mimi cna ninaemjua, kila ninapokaa tayari naambiwa kuna mtu da, sasa nikae wapi, nikasukuti mzee nikaona watu wanpanga foleni ya msosi, mimi kula kwa kisu na umma cjui yaani ninavyosema mara ya kwanza kuwa ktk mazingira hayo mcthani naongopa, misosi yenyewe migeni da ile kufika katika mabeseni ya misosi nikasema hapa nachukua ninavyovifahamu tu, baada ya kupakua nikawa natafuta kijiko mzee, ckujua kuwa kisu na umma vipo ktk meza tulizotakiwa kukuaa mi kucheki cioni vijiko ,c nikachukua kimoja kilikuwa kipo idle kinazubaa meza ya misosi kumbe ni cha kuchotea pilipili kwa anaehitaji, halafu kibaya zaidi ckugundua kuwa ni kikubwa na kizito yaani kukilia huwezi, mi nikabeba watu wananiangalia mbaya, sema wazungu hawana kucheka palepale, kufika mezani kwanza nilikaa ya mtu c pahal pangu, halafu mambo ya umma na kisu hapo , maji ckuyaona kwamba ni2mie mkono ,yaani nilipata tabu jamani halfu piga picha meza inawatu zaidi ya watano, kibaya kulikuwa na wakenya flani wao walinicheka laivu yaani hasa baada ya kujitambulisha kuwa mimi ni mtanzania mpaka leo nikikumbuka hili tukio najiskia aibu na kicheko vyote pamoja, hii imenifanya kukacha mimpart kibao ya offic mpaka leo .
 
mie ngoja nitoe embarrasment ya kimapenzi niliyowahi kuipata, makumbuka nilikuwa std 7 na nilikuwa nina akili sana class sasa kuna dada mmoja alikuwa chakaramu vibaya mno na alishaanza kamchezo ka kikubwa muda mrefu tu, basi kila siku akinikuta peke yangu alikuwa anasema ananipenda na anataka tukafanye matusi,

mimi nilikuwa naogopa sana ila nilikuwa namtamani kuna siku nikamwelezea kaka yangu akaniambia nimkubalie, basi siku hiyo nikamweleza huyo dada akakubali akasema twende kwenye choo flani kilikuwa kinajengwa hakijaisha vizuri na hakitumiki, basi tukaingia na kufika ndani ikawa vua wewe, vua wewe, yule dada akaniambia kama sitaki kuvua anaondoka, basi mie nikaamua kuvua kikaptula changu cha shule na pichu kibamia (enzi hizo) wazi. Unaambiwa yule dada baada ya kuona alitoka mbio anacheka kuelekea class. Baadae nikakaa nje najifikiria itakuwaje nikiingia class, break ilipoisha nikarudi class nilipoingia tu wasichana wote wakaangua kicheko, unaambiwa nilijisikia vibaya na baada ya kutoka shule siku hiyo nilitega shule siku 3 nikavunga nina malaria wazazi wakanipa dozi ya krolokwini nikawa nazinywa bila wasiwasi ingawa nikiumwa nilikuwa mpaka nilazimishwe lakini kwa siku zile niliona ni bora ya krolokwini kuliko ile aibu darasani

yule dada siku hizi sijui yuko wapi

hahahahahaah......
maskini pole sana! dah alikuweza vizuri....
 
Nakumbuka one of the days back nikiwa kwenye lecture niliazima memory stick kutoka kwa dada mmoja niliekuwa nimekaa nae karibu humo Lecture, haikua mara ya kwanza yeye au mimi kutumia vitu vya mweniziwe>
Siku hiyo sikua na memory stick yangu na nilihitaji kuhamisha vitu kwenye kwenye latop ya rafiki yangu, sasa badala y akuhamisha moja kwa moja nikaanza kuangalia mafaili yake dah huku Kompyuta yangu ikiwa na sauti ya juu ghafla sauti za maraha watu watu wakifanya mapenzi kutokea kwenye lile faili duuh OMG nilikosa nguvu hata ya kuzima Kompyuta,nikabaki nimelegea mapigo ya moyo yakaenda kasi huku kila mtu akinitazama it was so embarrassing, mpk leo nikifikiria siamini kama kile kitu kilitokea mikononi mwangu dah! nilikoma kuangalia visivyo nihusu.

hahahahhahahahah........
Mnaniacha hoi mno....
sasa huyo dada hakukasirika maana that was an embarrassment kwake pia....:doh:
 
wacha utani kabisa . hizo zote cha mtoto mimi nilifumaniwa na jirani yangu (mmama ) nikimgonga beki tatu yake , usipime hiyo aibu niliyopata.:nono:
 
Nakumbuka one of the days back nikiwa kwenye lecture niliazima memory stick kutoka kwa dada mmoja niliekuwa nimekaa nae karibu humo Lecture, haikua mara ya kwanza yeye au mimi kutumia vitu vya mweniziwe>
Siku hiyo sikua na memory stick yangu na nilihitaji kuhamisha vitu kwenye kwenye latop ya rafiki yangu, sasa badala y akuhamisha moja kwa moja nikaanza kuangalia mafaili yake dah huku Kompyuta yangu ikiwa na sauti ya juu ghafla sauti za maraha watu watu wakifanya mapenzi kutokea kwenye lile faili duuh OMG nilikosa nguvu hata ya kuzima Kompyuta,nikabaki nimelegea mapigo ya moyo yakaenda kasi huku kila mtu akinitazama it was so embarrassing, mpk leo nikifikiria siamini kama kile kitu kilitokea mikononi mwangu dah! nilikoma kuangalia visivyo nihusu.

Oh my God....
Aisee ungekutakana na boss kilaza anakupa na suspension kabisa....
 
Kuna katoto ka kike kalinipenda sana nikiwa shuke ya msingi, tukiwa skuli kananifundisha hesabu na kunisimulia mambo ya kwao. Mimi kwa vile nilikuwa mtoto wa mkulima hohe hahe sikuwa na kuelezea sana kuhusu nyumbani ilibidi nimdanganye tu mm napena kutizama TV sana na kwetu ipo,kumbuka miaka hio kwa sisi wa enzi za mwl TV ilikuwa 1 wilaya nzima. Nikarudishwa ada kama siku 3 sikwenda shuleni akaja na wenzake 5 wote ni vi do vya class, kwa bahati mbaya zaidi wakanikuta nimelala wakakaribishwa ndani, wakagundua hata umeme hamna licha ya TV niliyodanganya. Nilivyoitwa na kuwakuta sebuleni wananisubiri nilitamani kuzimia, mwenyewe akatabasamu. Kutokana na kuwa embarassed sikuweza kuongea naye tena tangu siku hio na uhusiano wetu ukafa
 
Kuna katoto ka kike kalinipenda sana nikiwa shuke ya msingi, tukiwa skuli kananifundisha hesabu na kunisimulia mambo ya kwao. Mimi kwa vile nilikuwa mtoto wa mkulima hohe hahe sikuwa na kuelezea sana kuhusu nyumbani ilibidi nimdanganye tu mm napena kutizama TV sana na kwetu ipo,kumbuka miaka hio kwa sisi wa enzi za mwl TV ilikuwa 1 wilaya nzima. Nikarudishwa ada kama siku 3 sikwenda shuleni akaja na wenzake 5 wote ni vi do vya class, kwa bahati mbaya zaidi wakanikuta nimelala wakakaribishwa ndani, wakagundua hata umeme hamna licha ya TV niliyodanganya. Nilivyoitwa na kuwakuta sebuleni wananisubiri nilitamani kuzimia, mwenyewe akatabasamu. Kutokana na kuwa embarassed sikuweza kuongea naye tena tangu siku hio na uhusiano wetu ukafa

Duh....!!!
 
hahahahhahahahah........
Mnaniacha hoi mno....
sasa huyo dada hakukasirika maana that was an embarrassment kwake pia....:doh:
Ilikua embarrassment kubwa kwangu 7bu waungwana hawakujua kama niliazima memory stick
ila alijisikia hovyo kwa wale wachache waliojua pale around us.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom