Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
Habari za asubuhi wapendwa....
Nilipoamka leo asubuhi, niliamka na hii kumbukumbu kichwani - kitu kilichotokea several years ago...it was funny somehow but quite embarrasing!!
Nilikuwa chuo na nilikuwa naelekea kwenye moja ya madarasa kukutana na rafiki zangu kwa ajili ya assignment fulani, nilipokuwa naongea nao before walinielekeza darasa walilomo but apparently when they got there wakakuta linatumika and before they got to inform me I was there already...
"I remember that before I was heading to meet them we had this argument I dont remember exactly what it was about, but I remember the noise I made as I walked towards that classroom.....
"guys guys guess what! I beat all of you....hahahah am sooo loving my self....am sooo smarrrrr" there sikuweza kumalizia sentensi ya mwisho...imagine while I was making that noise nilikuwa naruka ruka na kurusha mikono juu but sikuwa nimeangalia vizuri ndani ya lile darasa kulikuwa kuna nani.....
My dear lord....darasa lilikuwa limejaa lecturers practically all of the administration na katika wote hao most of them who knew me walinifaham kama the most silent...quiet being they have ever known!! some of them even made examples of me darasani....dah!!
It was such an embarrassment...I couldnt even beggin to apologize I immediately went into paralysis!!
My friends had the laugh of the month...they were at me with it almost everytime I tried to outsmart them! I cannot live to forget that day...and today I woke up smillin at myself....such a record I made!!
what was your most embarrasing moment...?!
Nilipoamka leo asubuhi, niliamka na hii kumbukumbu kichwani - kitu kilichotokea several years ago...it was funny somehow but quite embarrasing!!
Nilikuwa chuo na nilikuwa naelekea kwenye moja ya madarasa kukutana na rafiki zangu kwa ajili ya assignment fulani, nilipokuwa naongea nao before walinielekeza darasa walilomo but apparently when they got there wakakuta linatumika and before they got to inform me I was there already...
"I remember that before I was heading to meet them we had this argument I dont remember exactly what it was about, but I remember the noise I made as I walked towards that classroom.....
"guys guys guess what! I beat all of you....hahahah am sooo loving my self....am sooo smarrrrr" there sikuweza kumalizia sentensi ya mwisho...imagine while I was making that noise nilikuwa naruka ruka na kurusha mikono juu but sikuwa nimeangalia vizuri ndani ya lile darasa kulikuwa kuna nani.....
My dear lord....darasa lilikuwa limejaa lecturers practically all of the administration na katika wote hao most of them who knew me walinifaham kama the most silent...quiet being they have ever known!! some of them even made examples of me darasani....dah!!
It was such an embarrassment...I couldnt even beggin to apologize I immediately went into paralysis!!
My friends had the laugh of the month...they were at me with it almost everytime I tried to outsmart them! I cannot live to forget that day...and today I woke up smillin at myself....such a record I made!!
what was your most embarrasing moment...?!