King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Sasa tatizo la wadada wa siku hizi kujitanguliza! Enzi zetu mtu anauziwa mbuzi kwenye gunia, akifika anakuta ni mbwa! Utajuaje mchuchu anajua kupika ama la? Kuna mshkaji alimpeleka mkewe veta, manake alternative ilikuwa kumuacha,lol!
Haya yeshe, manake hutaki niende Chinangali
Haya yeshe, manake hutaki niende Chinangali
.ninachosema kujua kukaangiza pia kwa Walume wengine ni muhimu sana au mdada anaweza kudodea nyumbani...na pale juu pia uchafu nimeuweka.