mara nyingi kwenye kusoma kwangu sayansi nimekutana na maneno,'assume other terms are constant'. kuna wakati i also assumed so as to proceed with my calculations, "fake calculations". siku moja nilipokuwa kwenye lecture ya fluid mechanics, lecturer aliandika formula hii; PV=nRT kisha ikafuatiwa na hii; PV/T= constant,mwanafunzi mmoja akauliza what is that constant? akajibiwa ni nR mwingine akauliza is that real constant? lecturer akasema; unajua sometimes we assume so as to simplify life! hahahaha
if you are intelligent enough utakubaliana na mimi there is no science without assumption and this is the weakness of science because those terms what they are calling them constants are not constant,they are always changing and affecting the results.
kuna Engineer mmoja nilikuwa naongea nae kuhusiana na suala hili la assumptions in science akaniambia kama watu wangekuwa wanajua assumptions made while designing aeroplane wasingepanda! nikamwambia they are moving with faith ndiyo maana wanapanda.hitimisho tulilofikia ni kuwa sayansi haina ukweli kwasababu haizingatii vigezo vyote,kwanza hawavijui vyote na kwa vile wanavyovijua wanashindwa kuvidhibiti because they are always changing na changamoto kubwa zaidi ni kuwa those factors are changing randomly, hii ina maana kuwa those factors will never be controlled and therefore science will never be real. science is all about probability!! never trust science,it is changing randomly.
what are your views?
fikiria hili 0-2 wanasema ni -2,swali unawezaje kutoa vitu kutoka sehemu ambayo havipo? kiuhalisia jibu ni kuwa haiwezekani!,jibu la -2 ni la kufikirika,ila jibu halisi ni kuwa haiwezekani.
"make assumptions to simplify life"
if you are intelligent enough utakubaliana na mimi there is no science without assumption and this is the weakness of science because those terms what they are calling them constants are not constant,they are always changing and affecting the results.
kuna Engineer mmoja nilikuwa naongea nae kuhusiana na suala hili la assumptions in science akaniambia kama watu wangekuwa wanajua assumptions made while designing aeroplane wasingepanda! nikamwambia they are moving with faith ndiyo maana wanapanda.hitimisho tulilofikia ni kuwa sayansi haina ukweli kwasababu haizingatii vigezo vyote,kwanza hawavijui vyote na kwa vile wanavyovijua wanashindwa kuvidhibiti because they are always changing na changamoto kubwa zaidi ni kuwa those factors are changing randomly, hii ina maana kuwa those factors will never be controlled and therefore science will never be real. science is all about probability!! never trust science,it is changing randomly.
what are your views?
fikiria hili 0-2 wanasema ni -2,swali unawezaje kutoa vitu kutoka sehemu ambayo havipo? kiuhalisia jibu ni kuwa haiwezekani!,jibu la -2 ni la kufikirika,ila jibu halisi ni kuwa haiwezekani.
"make assumptions to simplify life"