what should i do..........

tulivyokuwa mwanzo sio kwamba alikua romantic saaaaan lakin siku hizi ndo kabsaaaaaaa...hata hug na kisses zile za chumbani tu zile zimekua shida....smtimz i real nid himmmmmmmmm utaskia kesho mi nimechoka sa lini hajachokaaaa....mpaka nianze mimi......mi namfanyia hiv na vile lakini yeye yupo tuu jamani yani naona mfumo dume mis hata sielewi.....yani sifiki kule nilikokuwa nafika zamani.....juzi karudi kalewa....dah amejitahidi kuanzia usiku ule hadi asubuhi tatu....although sikufika nilipokuwa nakwenda i was satsified kiasi chake mwanzo hakuwa hivyo.....bila 5 6 2likuwa hatujaamka yani mpak aasubuhi sa tatizo nini....

Babygirl...someone is assisting you!
 
tulivyokuwa mwanzo sio kwamba alikua romantic saaaaan lakin siku hizi ndo kabsaaaaaaa...hata hug na kisses zile za chumbani tu zile zimekua shida....smtimz i real nid himmmmmmmmm utaskia kesho mi nimechoka sa lini hajachokaaaa....mpaka nianze mimi......mi namfanyia hiv na vile lakini yeye yupo tuu jamani yani naona mfumo dume mis hata sielewi.....yani sifiki kule nilikokuwa nafika zamani.....juzi karudi kalewa....dah amejitahidi kuanzia usiku ule hadi asubuhi tatu....although sikufika nilipokuwa nakwenda i was satsified kiasi chake mwanzo hakuwa hivyo.....bila 5 6 2likuwa hatujaamka yani mpak aasubuhi sa tatizo nini....
mwanamama mi na kushauri uendelee nae huyo huyo,

watu kama Teamo will break your heart into minute particles,maanake mimi kila siku ni pombe tu,hata moja lenyewe linatoka kwa shida....!

YOU ARE TOO DEMANDING AISEE
 
vkeisy 2006 kwani tangu uboyfriend na ugirlfriend wenu alikuwa hivi?......If yes how did you cope? Kama uliweza kumstahimili hadi umeoana naye basi be greatful hajabadilika .................. otherwise useme kama ilikuwa ni ndoa ya kupangiwa (Hamkukutana before)
 
i nid my husband to be romantic what should i do,nimejaribu kwa vitendo naona mwenzangu ka haelewi...hata tunapokuwa faragha inaonekana ka mwenzangu anaona aibu...kusema i lov its like mwaka mzima sijasikia...hata ukimuuliza unanipenda utasikia eeh...ndo mana niko na wewe mi sipendi hivyo nifanyeje hamna jarida nikampe asome...yani sielewi sio siri inaninyima raha...although smtimes anaonyesha anajali lkn sio km vile mtu anvyotakiwa afany kwa mpenz wake.....plzzzzz na mi nampenda sana my husband...

Pole sana...jaribu tu kuendelea kumulewesha na pia umwambie umuhimu mkubwa wa wewe kuyasikia maneno hayo matamu toka kwake labda ataanza kukuelewa taratibu. Nimeshawahi kuona kwa Oprah Wanawake mbali mbali wakilalamika kuhusu hili kwamba wanaume wao hawako romantic kabisa kiasi ambacho ilikuwa inatishia uhai wa ndoa zao.

YouTube - Michael Bolton & Percy Sledge - When a Man Loves a Woman Liv

 
vkeisy 2006 kwani tangu uboyfriend na ugirlfriend wenu alikuwa hivi?......If yes how did you cope? Kama uliweza kumstahimili hadi umeoana naye basi be greatful hajabadilika .................. otherwise useme kama ilikuwa ni ndoa ya kupangiwa (Hamkukutana before)
..............Love was meant for some and others escorting them.....
 
muwekee ma movie ya kihindi kwa wingi. ataelewa tu somo. yale ma movie mwanzo mpaka mwisho jamaa wanabembelezana tu, yanaweza yakamuasiri.
 
Love is not in finding a perfect husband/person....but in learning to see an imperfect husband/person in a perfect way!!!
 
Kama hasemi anakupenda lakini matendo yake yanaonesha anakupenda usiwe na wasiwasi.
Wengine huwa hatutamki hilo neno hovyo hovyo hata kama tumependa vipi.
Ol in ol kuna ule msemo unasema "don't say i love you if you don't mean it".
Inawezekana jamaa yako ameguswa hapo.
 
yani sielewi sio siri inaninyima raha...although smtimes anaonyesha anajali lkn sio km vile mtu anvyotakiwa afany kwa mpenz wake.....plzzzzz na mi nampenda sana my husband...

"If we all threw our problems in a pile and saw everyone else's,we'd grab ours back and depart"
 
tok to him mwambie unataka nn akufanye/akufanyie pia kama unaweza mweleze hata stlye,type za mamboz unayotaka akupe akufanyie,kumbuka he is all urs no mata akiwa nje au ndani usiposema shaulilo atafunzwa na kufundisha kirudi kwako atakuona bado uko chekechea while ulijua hukutaka kumfundisha au kumuelewesha!tok tok tok action speak beta zan vojarida etc

bibie hapo kwa keli nakuunga mkono..
communication ndo ufunguo ndani ya ndoa ...
 
yaani ukweli ni kwamba kwani hukumjua kabla hamjaoana? kuna utofauti humo?

pia wasemao I love you kila dakika wengi waongo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom