Slaa is the New Hope for Tanzania, I wish him well in the coming few days.... Mapendekezo yangu, atumie muda mwingi zaidi kuwaelimisha vijijini, hao ndio wataamua kama kutakuwa na chama kipya madarakani come 1 November 2010
Mzee Mwanakijiji, haya ni makundi tuu ya watu, hakuna uhakika wapiga kura halisi ni wangapi ambao kwao ndio wanabeba dhamana ya mustakabali wa maajaliwa ya nchi yetu.
Kitu kimoja ni hakika, mwamko kwa Watanzania uko juu, swali ni kwamba jee ile siku ya siku, watatimiza dhamira zao kwenye sanduku la kura?..
Ikumbukwe kila mjumbe wa mashina ya nyumba kumi kumi, kesha tayarishiwa fungu la kugawa nauli ya kuelekea kituo cha kupiga kura ikiambana na shibe ya siku moja ile siku ya kupiga kura. Tuwasubirie Watanzania kama bado wataendekeza njaa kwa kulinda ufisadi kwa shibe ya siku moja ikiambatana na njaa nyingine ya miaka 5, au watakubali hata kulala njaa, ili kutengeneza shibe ya uhakika ya miaka 5 mingine!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.