What Made You Stay?

Kbd kilema cha maisha huweki epuka....kilema si lazima kiwe physical haha (nakumbuka jinsi ambavyo kila nilivyokuwa nanyukwa jinsi nilivyokuwa nakinga reception (uso) maana umbo la kike sijajaaliwa ila uso ah nami nimo so nikawa nakinga kwa nguvu zote (ninacho kilema cha kiuno (nyonga) nloipata kwa kukinga reception lol I wish nisingekinga maana loh kwenye mambo yetu yale najikuta natakiwa kutumia nguvu za ziada hahahahahhaha ). But psychologically and all the usukule thing, the damege is so very big................... ninachomshukuru MUNGU ni ile hulka yangu ya kukubali na kusonga mbele. Mwenyewe ananishangaa halafu sina kinyongo nacheka na kuzungumza naye kama hatuna tofauti (we share a very handsome, strong adorable boy _ Mpenji wangu ) pamoja na kuwa he doesnt know mwanae anakula nini, anavaa nini, shule anaendaje au anatibiwa vipi akiumwa, sina kinyongo and I am always open aje (lakini haingii ndani kwangu) amchukue mwanae aende naye anapojisikia (ili mradi anamrudisha). Ni mwanae damu yake there is no point ya mimi kumzuia, but mimi kama MwanajamiiOne, ataendelea kunisikia na kunielewa kama mama wa his son, nothing more......na hilo analijua BUT si kwamba ni kwa ujasiri wangu au ujuzi wangu la hasha, it took me a long time (almost a year and a half) kufikia maamuzi haya na kustick to them.............ikiwa ni pamoja na kumeza machungu ya blames, kupoteza marafiki na kumeza lawama kutoka kwa watu ambao HAWAUJUI UKWELI WA MAMBO lakini wako tayari kugrab microphone na kutaka kusimulia yaliyojiri.

Najipa moyo, siku moja yatapita tu na penye ukweli uwongo hujitenga...............na ushaonekana.

Mbu, my Soulmate ninakushukuru kwa kunipenda na kunirudishia thamani ya maisha yangu hapa duniani lol. hahahahah lol leo mh..........The finest umenikamata
MJ1 at least haya maneno ya mwisho yamenifanya nicheke maana huzuni niliyokuwa nayo acha tu
 
The Finest..............this is so touchy jamani. Hivi wanaume wengine wamelelewaje/ hivi jamii yetu inafikiria je?.
Ni kweli kuwa hii inachangiwa na kutokujitambua lakini naamini pia malezi na jamii zetu kwa kiasi kikubwa zinachangia na kama kuwajibika basi a major transformation need to be done. Maneno ya ndoa ni kuvumilia yawe na mipaka i.e. limit? kuvumilia vitu gani na gani vya kutovumilia.

I have been there. Yes in a very abusive relationship tena ya mtu ambaye nilimpenda kiasi cha kusacrifice mambo mengi sana including elimu yangu and all that (najua mpo mtakaosema MWJ1 ulikuwa mjinga, unaacha elimu ikupite kushoto kwa ajili ya mwanaume!!? nitawaelewa). Sacriface nyingi sana ambazo nilizifanya kwa jina la mapenzi ! The Sacrifice ambayo ilinibidi niiweke katika moja wapo ya items muhimu na endelevu kwenye maisha yangu. Nikiwa kama binadamu ambaye siko perfect ninakiri na ninaamini kuwa nilikuwa na part yangu lakini kwa mtazamo wa nje na yale yote muhimu nilijitahidi (na yeye anakiri leo kuwa ali'pitiwa na shetani) nilikuwa mjinga na ilinichukua muda kurealize kuwa ninakuwa abused. (Ninapenda kuwajulisha kuwa MWJ1 wa enzi hizo ni yule alokuwa anafahamika kama mlokole....... yule ambaye alikuwa akimaliza kugawa tunda pamoja na kuwa ni halali anahisi anatakiwa kutubu!) Kila siku ikawa ni sacrifice, sacrifice only to realize kuwa haitokaa siku akatosheka na wala akabadilika. Ilinichukua muda kuamua kwanza kuuvunja ukimya na kisha kuchukua hatua ambayo nakiri haikuwa kazi rahisi hata kidogo na hii ilichangiwa na jamii niishiyo ambapo mpaka wazazi wangu (ambao si kuwa tu mimi ni mtoto wao wa kwanza, bali pia mtoto pekee kati ya watoto 5) ambaye angalau nilikuwa na kajidiploma kangu ualimu, hata hao wazazi walinifukuza wakitoa sharti la kurudi kwenye uhusiano wangu na huyo mwenza. Katika mwaka ambao sitakaa niusahau humu duniani ni mwaka ule. Nilijuta kuingia katika kifungo nikingali msichana (si mdogo sana) but nikingali mchanga ambaye sikuwa na pa kusimamia. Pocket money niliyokuwa napewa na wazazi ilikatwa, nikaishi maisha ya kuhangaika na kudowea kwa marafiki (namshukuru MUNGU sikuwahi kuwaza maovu zaidi lakini shukrani zangu za maisha ziende kwa rafiki yangu wa kike ambaye yeye pamoja na kuwa si tajiri bali aliwezakunikimu kwa kugawana pocket money aliyokuwa akichangiwa na dada zake na kunipa kalazi na chakula mpaka nilipomaliza chuo).

Haikuishia hao, chuoni nilipokuwa nasoma nilionekana msichana niliyeshindikana, anawezaje kuondoka kwenye mahusiano madhubiti kama yale! anataka awe huru ili awe changudoa, ameona anabanwa na maneno chungu mbovu kiasi cha kuona kabisa unapopita unanyooshewa vidole na unaposogelea kundi lal marafiki wanatawanyika. ! Mtaani ndio usiseme. Maisha yalikuwa magumu kupindikia mpaka MUNGU aliponibariki kazi yangu ya kwanza ambapo nilifanikiwa kuhama mtaa na chuo na kuanza maisha mapya, nikiwa nimetengwa na ndugu, jamnaa na marafiki isipokuwa rafiki yangu alitenivumilia nilipoanguka!

Mtu ukiyafikiria haya yote utagundua kuwa kujitambua peke yake hakutoshi bila kuwa na ujasiri na a hand to hold you on maana it is not easy at all. Mchana utatembea kichwa juu macho miita mia kujifanya u strong but usiku hulali kwa kulia na wengine kujiingiza kwenye ulevi kama si kunusuriwa na mauti.

unapoisoma hii post ninakuomba wewe mwanamke utafakari, ujiweke kwenye nafasi ya huyu MwJ1 (wa enzi hizo). Fikiria mazingira yote yanayoukuzunguka kuanzia thamani yake (kwa jinsi unavyoidefine wewe, wazazi wako na jamii inayokuzunguka)
2. Ukikumbuka kuwa decision making at household inatawaliwa na baba, mama anawezakuumia sana juu ya maumivu yako lakini kumbuka uamuzi wa mwisho unatolewa na mzazi wako wa kiume (wangapi ambao wazazi wao wa kiume wanasymphasize nao achilia mbali wale ambao hawana wazazi wa kiume au wana wazazi ambao si wazazi wa kumzaa)
3. Fikiria nafasi ya mwanamke mwenzioa ambaye hana kazi nzuri ya kumsustain yeye na wanae kama ataamua kuondoka kimoja; na mazingira yote yanayomzunguka..wanawake wengine hawana elimu, hawajui haki zao n.k

So ninawaomba ndugu zangu kabla ya kufanya "Victim blaming' ninawaomba tuwaangalie hawa wanawake wanaokuwa abused kutoka katika mazingira halisi wanayoishi. Am telling you wanawake ambao wana ujasiri wa kusimama na kuamua 'enough is enogh' wabebe misalaba yao na majukumu ya watoto wao ni 3 kati ya kumi.
Karibuni

pole sana mwanajamii. Ngoja tujifunze kabla hatujaingia huko. Haya mambo yanatisha sana.
 
MJ1 at least haya maneno ya mwisho yamenifanya nicheke maana huzuni niliyokuwa nayo acha tu
Hahahhah usinambie umechekeshwa hapo nilipomshukuru Soulmate? hahha ni kweli he has a very strong Heart and Love lol. laiti ungeniona ninavyom'shikilia' kwa nguvu hahahah nakesha kwenye relationships websites hahahaha he is so special and yet a very simple person to fell in love again and again kwa kweli................LOL
 
Hahahhah usinambie umechekeshwa hapo nilipomshukuru Soulmate? hahha ni kweli he has a very strong Heart and Love lol. laiti ungeniona ninavyom'shikilia' kwa nguvu hahahah nakesha kwenye relationships websites hahahaha he is so simple to fell and fell in love again and again kwa kweli................
Hahaha! Sijui amejificha mitaa gani ila huwa anatokea kama vile risasi utamuona hapa anytime lol
 
domestic-violence.jpg


Hiki ni kisa cha kweli cha rafiki yangu ila jina la muhusika ndio nimelibadilisha. Naandika kwa masikitiko sana kwa jinsi hali aliyonayo sasa hivi inasikitisha sana nafikiria ila kichwani mwangu maswali ndio mengi kuliko majibu, najiuliza ni kwanini lakini??

Ukimuona Angela sio yeye ile hali ya uanamke haipo tena, nguo anazovaa yeye ni zile zinazofunika mwili kuanzia juu hadi chini. Angela is not confident anymore anaonekana kama vile ana miaka 40. Angela amekuwa kwenye abusive relationship kwa muda mrefu amekuwa akipigwa na mumewe mara kwa mara na kumfukuza nje ya nyumba kwa kuwa ana watoto na huyu mume Angela ilikuwa inambidi arudi kwa mumewe kumuomba msamaha hii yote alikuwa anafanya kwa ajili ya watoto wake, alikuwa anataka watoto wake wamalize shule kabla hajachukua uamuzi mwingine.

Mumewe alikuwa ameishajua udhaifu wake uko wapi na ndio akaamua kuwa anatumia nafasi hiyo kumdhalilisha, Angela naye aliendelea kuishi na hali hiyo akitegemea iko siku labda mambo yatabadilika, ila siku mambo yalipokuwa magumu ndipo aliamua kuchukua uamuzi wa kuondoka hii ni baada ya mumewe kumjeruhi kwa kisu na mpaka sasa Angela ana makovu ya visu mwilini, natamani laiti kama mngeweza kumuona jinsi alivyo sasa hivi inasikitisha sana swali nililomuuliza ni kuwa pamoja na haya yote kwanini aliendelea kukaa kwenye ndoa ya namna hiyo akanijibu ni kwasababu ya watoto.

Nashindwa kueleza mambo mengine zaidi sababu ni ya aibu na ya kusikitisha sana mwanaume ambaye umezaa naye watoto leo hii anakuuliza "Kama wewe ni mwanamke kweli basi nionyeshe huo uanamke wako uko sehemu gani"? hivi sielewi.

NB: Mume wake ameishafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kwa kosa la kumjeruhi

Najua ni wengi sana wako katika hali kama hii lakini hawasemi kwa kuhofia wakiacha ndoa zao jamii itawaelewa vibaya, ni kitu gani kinachokufanya uendelee kukaa kwenye ndoa ya namna hiyo????


Kaka mwambie huyo mume wa angela aje kwangu nimfundishe adabu!! mh! i wish that would be mine!!
 
Caro I love you bila gharama kwa kweli...................... tugee maujuzi jamani, tupe mbinu mpendwa.
 
MJ1 ni vitu vinavyoumiza sana sana, yaani baadhi ya wanaume ni wakatili mno. Mi nilishawahi kuomba ushauri hapa baba mwenyenyumba wangu anatabia hizo pia ila ukweli watu walinikatisha tamaa na kuniambia niache kihelehele hayo mambo hayanihusu. Na mwingine aliniambia nihame nyumba.

Jamii ingefahamu tu kuwa hawa watu wanaodhalilika ni binadamu wenzetu, ni mama zetu, ni dada zetu na pengine ni watoto wetu. Unless we change our attitudes na kuvaa viatu vyao sioni jambo hili likipungua any time soon.

Ubarikiwe sana the boss

nilimuulizaga bibi yangu kwa sasa ana miaka 90 mbona wakina babu wamekufa mapema hata hatukuwaona nikisema babu zetu namaanisha baba mzazi na baba wakubwa na wadogo wa baba yangu. jibu alilonipa nilishangaa alisema ni heri wafe mapema kwani kuishi kwao muda mrefu ni mateso kwa wengine na Mungu hapendi!
 
Mj1 najikuta nakupenda sana kwa ujasiri wako mkubwa..pole na Mungu amekubariki sana

Mimi rafiki yangu alikuwa abused sana kiasi kwamba aliamua kujiua na kuacha watoto wadogo 2

Ni story ya kusikitisha sana, na nyingine nikiweka hapa mnaweza kuijua, watu wanashauriwa 'kemea tu' 'sugua goti'

Ninavyofahamu Mungu ana makusudi na sisi ndio maana we are wonderfully and fearfully made, kama upo kwenye abusive relationship tafuta msaada haraka huku ukimwomba Mungu, Mungu atusaidie sote tujue kusoma alama za nyakati

May I take ths small opportunity to thank u hubby for being ths good to me, for loving me despite myself ...Mungu awabariki hizi post zimenitoa machozi, zimenifanya nirudi kusema thank u God for blessing me with this man I call my husband..

MJ1 pamoja sana, He will not let you be tempted beyond what u can't bear...Mungu yu mwema kwetu sote,ninakuombea na ninamshukuru Mungu kwajili yako.
 
natamani kuandika mengi halafu nashindwa ngumu vinaumiza sana pole sana Angel
Chauro.........dont say/write anything if you are not ready darling. Ujumbe umefika. I know you are among very strong women ambao mnajua nini maana ya ndoa na pia nini maana ya familia. I salute you.
 
Mj1 najikuta nakupenda sana kwa ujasiri wako mkubwa..pole na Mungu amekubariki sana

Mimi rafiki yangu alikuwa abused sana kiasi kwamba aliamua kujiua na kuacha watoto wadogo 2

Ni story ya kusikitisha sana, na nyingine nikiweka hapa mnaweza kuijua, watu wanashauriwa 'kemea tu' 'sugua goti'

Ninavyofahamu Mungu ana makusudi na sisi ndio maana we are wonderfully and fearfully made, kama upo kwenye abusive relationship tafuta msaada haraka huku ukimwomba Mungu, Mungu atusaidie sote tujue kusoma alama za nyakati

May I take ths small opportunity to thank u hubby for being ths good to me, for loving me despite myself ...Mungu awabariki hizi post zimenitoa machozi, zimenifanya nirudi kusema thank u God for blessing me with this man I call my husband..

MJ1 pamoja sana, He will not let you be tempted beyond what u can't bear...Mungu yu mwema kwetu sote,ninakuombea na ninamshukuru Mungu kwajili yako.
Nsande, ninabarikiwa kwa kukugusa. Shika sana ulichobarikiwa wapo wanaotamani kuwa na hicho ambacho wewe kwa sasa unakiona hakifai.
Mimi nimepiga na ninaendelea kupiga magoti kumshukuru kwa miujiza inayoendelea kunitokea hah...........just half an hour nimepigiwa simu na Mama Mkwe ananisihi niendelee kuvumilia na kuomba MUNGU ambadilishe mwenzangu!!!! mitihani mingine bwana. !!!
 
Mj1 najikuta nakupenda sana kwa ujasiri wako mkubwa..pole na Mungu amekubariki sana

Mimi rafiki yangu alikuwa abused sana kiasi kwamba aliamua kujiua na kuacha watoto wadogo 2

Ni story ya kusikitisha sana, na nyingine nikiweka hapa mnaweza kuijua, watu wanashauriwa 'kemea tu' 'sugua goti'

Ninavyofahamu Mungu ana makusudi na sisi ndio maana we are wonderfully and fearfully made, kama upo kwenye abusive relationship tafuta msaada haraka huku ukimwomba Mungu, Mungu atusaidie sote tujue kusoma alama za nyakati

May I take ths small opportunity to thank u hubby for being ths good to me, for loving me despite myself ...Mungu awabariki hizi post zimenitoa machozi, zimenifanya nirudi kusema thank u God for blessing me with this man I call my husband..

MJ1 pamoja sana, He will not let you be tempted beyond what u can't bear...Mungu yu mwema kwetu sote,ninakuombea na ninamshukuru Mungu kwajili yako.
Nsiande mshukuru Mungu kwa kila jambo
 
I wish kama tungepata wanawake wengine wenye udhubutu kama MwanajamiiOne.
 
MJ1 darling acha na hizi lager saiz nipo harusin post imenifanya namuangalia bibi harusi na maombi juu oops
Chauro.........dont say/write anything if you are not ready darling. Ujumbe umefika. I know you are among very strong women ambao mnajua nini maana ya ndoa na pia nini maana ya familia. I salute you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom