Should a woman be more educated than a man in marriage life or which level is she supposed to have to make her a great wife?
Should a woman be more educated than a man in marriage life or which level is she supposed to have to make her a great wife?
Should a woman be more educated than a man in marriage life or which level is she supposed to have to make her a great wife?
Mwanamke asome asisome wote dereva wao ni mmoja as far as marriage are concern period.
Kwa hiyo hakuna elimu husika ili huyu mtu tunayemuita mwanamke anatakiwa kuwa nayo ili awe mke mzuri kama hatafahamu maneno makuu matatu.
Upendo,uvumilivu na utii!!!
haya maneno hayahitaji elimu kubwa sana mkuu.
nawasilisha
Should a woman be more educated than a man in marriage life or which level is she supposed to have to make her a great wife?
The simplistic and cryptic manner in which this complex question is posed afford one no opportunity to even attempt a meaningful answer.
It is almost like the questioner assumed that all men and women are alike, which could not be far from the truth.
Some men like to be taken care for by women and would not mind a more educated woman, if that means it comes with perks.
Some men are old fashioned and overly sensitive, and would always want to be the leader in a marriage, as a result cannot accept a more educated woman.
For some men education is not an issue either way.
Some men don't even know what they want.
Different strokes for different folks, so wy the prejudicial overgeneralization?
Ni mada nzuri,
Tujue jambo hili, Mke mwema au mme mwema, Mtu hupewa na Mungu haijalishi ana Elimu ya dunia hii kwa kiwango gani au hana! Muhimu ni kumtambua kuwa huyu ndiye mke wangu/mme wangu/mwenza wa kuishi naye.Matendo yake yatashabiana sana na matendo yako na pale ulipo na udhaifu mwenza wako atapabeba na hii ndo main object ya Mungu;kwamba udhaifu wangu basi Mke/Mme wako atakubeba, kwa mfano ukiwa mtu wa hasira basi ujue Mungu atakupa mke Mpole ili mwisho wa siku adesolve hiyo hasira kwa upole wake na muwe kitu kimoja yaani level mwili mmoja katika kupambanua na kufikia mwafaka.
Hakuna kitu kizuri kama Ndoa itokanayo na Mungu, huwa haizeeki ni mpya kila siku,ina upendo, ina uvumilivu, ina utii unaovutia hata watu wa nje.
Na kitu kibaya katika yote ambacho kimezaa yamkini mleta mada atakubaliana nami ni kitu kinaitwa kwa kimombo '' Proudness'' yaani kujiinua na kujifanya mmoja wao au Mke/Mme anajua kuliko mwingine hiyo ndo sumu ya Ndoa! Cha msingi kama Mungu amekupa Mwenza basi ujue hata kama hajasoma kwa Elimu unayotaka kwa mwonekano wako wewe basi kuna jambo nawe huna ufahamu nalo wewe ndo maana Mungu kakupa huyo Mke/ Mme ili kusawazisha mapungufu yako.
Elimu au Kazi au utajiri au umasikini we taja chochote unachokijua haviwezi kubeba nafasi ya Mke/Mwema maana vyote hivyo vimeshafanyiwa utafiti na vimeshindwa kabisa na ndoa zikasambaratika na taraka lukuki.Kinacholeta ndoa imara ni wewe mwenyewe kujua kuwa yuko Mungu awezaye kunipa Mke/Mme mwenye haiba niisikiayo nafsini mwangu na nitampenda kama nimpendavyo Mungu, nitamtii kama nimtiivyo Mungu,nitamvumilia kama ninavyovumilia kumgonjea Messiah! na kwa jinsi hiyo utampata hata kama ni Prof au Dr. au Master nawe ni msukuma mkokoteni kutakuwa na UPENDO wa dhati kumjali mwenzake kwa nafasi yake na Watu watawatambua kwa Matendo yenu.
Ref.Bible,Mithali 19;14,Efeso 5;28,33.
JF ninawaombea, mnaugusa sana Moyo wangu kwa fikra pevu na michango yenu ya Kimaadili na nadhani tutafika na ipo siku tutafika tufurahie matunda ya Nchi yetu.Zaidi nyote nawasihi ambao hamjaokoka basi OKOKENI wakati ndo huu.
Jone, Ndikupasya Buno Malafyale anganie kangi ambokie.
Ndaga.
Nimekubali Ndaga.
Kikubwa hapa ni elimu ya maisha siyo ya vitabuni na kujaza vyeti ukutani.
Sasa kwanini asilimia kubwa wanawake wanaonekana wamesoma sana kupata waume imekuwa shida?Hasa kwa sisi Waafrica.
Tatizo liko wapi?
Usemalo laweza kuwa na ukweli ndani yake,but tell us niaje hapo mwanamke akiwa kasoma anakua big trouble.
________________________________
"Utamu wa Pipi Mate yako!"