binafsi nimekubali kuwa na guy ambaye najua anamsichana wake mud mrefu na nimewapa uhuru wa kuonana popote pale wanapojisikia ilimradi jamaa aniambie ukweli tu, na ninafanya hivyo huku nikiwa sina tumaini la jamaa huyo kuwa wangu wa ndoa ama lah!........ wakati mwingine huwa najiona nimelogwa lakini nimerealise kuwa nafanya kwa jina la upendo wangu kwake....litakolotokea acha litokee tu....WEWE JE?