What Kenya can teach Tanzania and vice versa

Hata tukiwa na matatizo, Nyang'au cannot be our role model. Tutajifunza kutoka success stories za SADC like RSA na Botswana etc, after all they are better than these Kenyans losers. Hawa jamaa matatizo ya ndani yamewazidi, wanatapatapa, na Tanzania ndiyo wanaona immediate solution kwa sababu kwao hakuna kitu. Kama their defense ministry budget is our budget, huku wanakuja kutafuta nini kubanana kutafuta vibarua vyetu. Sisi kama nchi, tujue our tax administration is rotten, tax base tunayo kubwa lakini kodi hazikusanywi, watu hawana IDs, business nyingi haziko registered, let alone corruption za ma tax assessors ambao wanaconspire na the would tax payers, sasa kodi itakuwa kubwa vipi na hivyo kuletea budget yetu kuwa kubwa pia. Mkuu wa taasisi mhimili wa kodi ya nchi mwenywe ni cha pombe, hata muda anao wa kufanya kazi za umma,? na si ndiyo maana mapato yanashuka kila siku siku hizi na mabao yanapigwa kwa kwenda mbele? But again, we have to work on this, hata hivyo corrupt Kenyans aren't the ones to teach us this, ni uongozi bora tu. Vasco Da Gama mwenyewe hata kukaa chini na kufikiria matatizo ya nchi muda hana, ni kukata mawingu tu. Talking about Mining, you Smatta, d u know politics that's involved in mining, hivi tungekuwa na viongozi makini sisi tungekuwa sawa na nchi nusu jangwa kama ya kwako, msiojua uzazi wa mpango mpaka solution yenu ni kutafuta ukimbizi. Nilisha ishi nje ya nchi yangu, msidhani mna venture nchi za wengine kwa vile ni wajanja, it's home pressure. If u were smart, why don't create jobs then mpaka mko 40% unemployment rate? We don't need to learn from failures! Our only curse is leadership, ila ya Kenya is even worse hence nothing to learn! Ruto ana team up Uhuru ili kulinda the latter's ill gotten wealth, do we need that lesson? Is that patriotism we need to learn?
 
Kidogo huwa nashindwa kuelewa, pamoja na u hovyo wanouzungumzia wakenya kuhusu Tanzania, akipata chance akaja huku anang'ang'ania kukaa huku hata kama ni illegally, nimeshawareport wakenya wawili waliokuwa wanafanya kazi illegally na wakapewa 48 hours to leave the country. You hate this country but you are still coming...this is the biggest contradiction i have ever come across.
 
Kidogo huwa nashindwa kuelewa, pamoja na u hovyo wanouzungumzia wakenya kuhusu Tanzania, akipata chance akaja huku anang'ang'ania kukaa huku hata kama ni illegally, nimeshawareport wakenya wawili waliokuwa wanafanya kazi illegally na wakapewa 48 hours to leave the country. You hate this country but you are still coming...this is the biggest contradiction i have ever come across.
They won't dare to do that withtheir mothers dying of hunger back home! Right now that economy depends on remittance from the work they do in Tanzania!!!
 
Uende ukalale wewe, nathani hufahamu hiyo airline unayosifia, Kenyans own less than 20% (yaani Government+Public) unaweza ukajigamba ati ni success yao? kaangalie shareholders halafu ujiulize who are really Kenyans? Nawasifu Serikali kwa kulazimisha shareholding kuwa 51% under Tanzanian government japokuwa inakuwa ngumu ku-secure investor ila tutaona matunda yake mbeleni!

Cant argue with you coz you do not add any any value.

Good thing with, Geza ulole ana data,Shapu wakenya bwana ni ujanja ujanja tu,jiulize kwanini wanaservice mbaya kwenye hoteli za kawaida?mimi sina kitu cha kujifunza kutoka kwao kwani sipendi kuwa tapeli.

Mkuu sijasema wako very clean in all angles, lakini kuna vitu wako vizuri huo ni ukweli usiopingika. Lazima tujifunze kuwa objective. Eti huna kitu cha kujifunza kutoka kwao and yet you call yourself "great thinker" wapi bwana....

Tanzanians are plainly lazy, lethargic, uneducated, suffer from morbid denial, and as long as you keep denying these facts, you'll never change.

Usishangae kwamba hata mimi kwa kiasi fulani nakubaliana na Smatta. Unajua most of us Tanzanians tumelack exposure...wengi wetu hatujui what is going on outside tanzania. Huo utabaki kuwa ukweli. Ukweli unauma lakini ni ukweli thats why mnamshambulia sana Smatta.

....Kwa swala la hospitality si kihivyo kwani kabla kila hotel inawajiri wafanyakazi ambao wamefuzi then hotel nyingi zinakuwa na in house training, ila tukumbuke kwa hapa wakenya wametupiga bao Kenya Utalii collage wanatoa wataalam wa hotel kwa miaka mingi sisi chuo chetu cha Forodhani – National collage of Tourism wamelala tu, French government tangu kipindi cha mkapa walitoa pesa za kujenga chuo kipya tangu kipindi hicho inakaribia miaka tisa kila siku siasa tu.Hapa hatuna ubishi tunatakiwa tukimbie kwa kuhakikisha tuna train vijana wengi hususani in front office, food and beverage, culinary art, housekeeping and laundry and customer care katika level za diploma na hata advanced diploma Wakenya wana wataalamu wengi saana waliobobea kwenye maeneo hayo.Kwa kutokuwa na wataalamu hao ndo maana huduma zinazotolewa na mahoteli zinalalamikiwa,

Hapo mkuu nimekukubali kwa mchango wako wenye fikra endelevu na kupitia watu kama wewe ndo twaweza badilika.

.....Kenya and Tanzania can have a lot to share because we are neighbours and we have all seen some strengths, weaknesses and potentials in both countries. Rather than discouraging each other i think we can be a bit constructive in our arguments, we can do better than this, i guess...what do u think guys...?

For sure i support you on that. That is how we can move on. that is how we can make this place a home of great thinkers and not a place where you just criticise anything simply because it comes from a person having always a different idea than yours. I encourage people to always look for opportunities in every circumstance rather than concentrating on things that will always keep you down.

Kidogo huwa nashindwa kuelewa, pamoja na u hovyo wanouzungumzia wakenya kuhusu Tanzania, akipata chance akaja huku anang'ang'ania kukaa huku hata kama ni illegally, nimeshawareport wakenya wawili waliokuwa wanafanya kazi illegally na wakapewa 48 hours to leave the country. You hate this country but you are still coming...this is the biggest contradiction i have ever come across.

Mkuu, this guys are fast and are looking for opportunities in any ways. If there are so many opportunities in tz and if at all they can sneak in and work even without being noticed by our systems whose problem is that?? It is OUR problems bana. Issue hapa ni sisi kujipanga na kuhakikisha kila kitu chetu kiko vizuri. Siasa zetu ndo zimetufikisha hapa...
 
Chesty, tafadhali nitumie contacts husika thru ma private msg, waone kazi yangu. Nawajua wengi, kuna telekom coy inaitwa TKM ofisi zao mikocheni B, walipata tenda ya kujenga minara ya zain kama 150, baada ya kuwa sub contracted na Huawei, sasa ushenzi wao ni kwamba wanafuata vibarua Kenya, wakati watanzania wapo..nadhani tuamke. The east african hata hivyo imereport eti EAC wana scrap work permit, hivi waTZ kweli wana akili mpaka kuruhusu kitu kama hicho? I will find out kama wameruhusu, anyone aware of that?
 
Cant argue with you coz you do not add any any value.



Mkuu sijasema wako very clean in all angles, lakini kuna vitu wako vizuri huo ni ukweli usiopingika. Lazima tujifunze kuwa objective. Eti huna kitu cha kujifunza kutoka kwao and yet you call yourself "great thinker" wapi bwana....



Usishangae kwamba hata mimi kwa kiasi fulani nakubaliana na Smatta. Unajua most of us Tanzanians tumelack exposure...wengi wetu hatujui what is going on outside tanzania. Huo utabaki kuwa ukweli. Ukweli unauma lakini ni ukweli thats why mnamshambulia sana Smatta.



Hapo mkuu nimekukubali kwa mchango wako wenye fikra endelevu na kupitia watu kama wewe ndo twaweza badilika.



For sure i support you on that. That is how we can move on. that is how we can make this place a home of great thinkers and not a place where you just criticise anything simply because it comes from a person having always a different idea than yours. I encourage people to always look for opportunities in every circumstance rather than concentrating on things that will always keep you down.



Mkuu, this guys are fast and are looking for opportunities in any ways. If there are so many opportunities in tz and if at all they can sneak in and work even without being noticed by our systems whose problem is that?? It is OUR problems bana. Issue hapa ni sisi kujipanga na kuhakikisha kila kitu chetu kiko vizuri. Siasa zetu ndo zimetufikisha hapa...
you are trying to sound a Tanzanian sio, keep on cause we feed you! what do you understand by the word sharpness or smartness? unorganized ****like you cant tell eti wana exposure! Do you know me to brag on exposure? did the Germany had to get exposure to be where they are now? Or you are trying to certify your working in Tanzania instead of blaming your Kibaki (lame duck) government? !
 
Chesty, tafadhali nitumie contacts husika thru ma private msg, waone kazi yangu. Nawajua wengi, kuna telekom coy inaitwa TKM ofisi zao mikocheni B, walipata tenda ya kujenga minara ya zain kama 150, baada ya kuwa sub contracted na Huawei, sasa ushenzi wao ni kwamba wanafuata vibarua Kenya, wakati watanzania wapo..nadhani tuamke. The east african hata hivyo imereport eti EAC wana scrap work permit, hivi waTZ kweli wana akili mpaka kuruhusu kitu kama hicho? I will find out kama wameruhusu, anyone aware of that?

Kanyabwoya, i think I told you to PM me we meet if you have a set of balls under that skirt, but you didnt, you think you know alot about Kenyans dont you? if you were a man enough, maybe you could have communicated and put a face to my name.

SMATTER
 
Kanyabwoya, i think I told you to PM me we meet if you have a set of balls under that skirt, but you didnt, you think you know alot about Kenyans dont you? if you were a man enough, maybe you could have communicated and put a face to my name.

SMATTER
we unatisha nani hapa, unafikiri uko Kibera angalia watakuniga in dar
 

Haahaaaaa... lack of etiquette!
Watz wenzangu kama hali ndo hii tunajiaibisha sana.
You cant even argue professionally!! Loooh!
Endelea ku-assume.
Aibu aibu aibu....
 
we unatisha nani hapa, unafikiri uko Kibera angalia watakuniga in dar

Am not trying tn threaten Kbwoya, am not that dumb, i just wanted the tard to see me we talk, coz in his twisted mind he thinks am just another poor bloke here in TZ to take his minimum pay job, maybe he would have known better once he saw me in person. FYI Dar doesnt scare me at all.
 
Haahaaaaa... lack of etiquette!
Watz wenzangu kama hali ndo hii tunajiaibisha sana.
You cant even argue professionally!! Loooh!
Endelea ku-assume.
Aibu aibu aibu....
nenda zako wewe utakuwa uliogopa umande ndo maana una-butt lick hao jamaa jiamini unaweza! kama wameendelea mbona uchumi wao usifanane na SA au mbona tourism industry yao isiwe kama ya SA?
 
Chesty, tafadhali nitumie contacts husika thru ma private msg, waone kazi yangu. Nawajua wengi, kuna telekom coy inaitwa TKM ofisi zao mikocheni B, walipata tenda ya kujenga minara ya zain kama 150, baada ya kuwa sub contracted na Huawei, sasa ushenzi wao ni kwamba wanafuata vibarua Kenya, wakati watanzania wapo..nadhani tuamke. The east african hata hivyo imereport eti EAC wana scrap work permit, hivi waTZ kweli wana akili mpaka kuruhusu kitu kama hicho? I will find out kama wameruhusu, anyone aware of that?
It's ok, take it easy mate...
 
Am not trying tn threaten Kbwoya, am not that dumb, i just wanted the tard to see me we talk, coz in his twisted mind he thinks am just another poor bloke here in TZ to take his minimum pay job, maybe he would have known better once he saw me in person. FYI Dar doesnt scare me at all.
Smatta, are you interested in having a sensible discussions or not...you seem to be so angry...whats the matter? If you are here in Tanzania and you are loaded i guess you would be taking things easily...but from what i see in your writings, clearly, you seem very frustrated...tell me, are you really enjoying yourself here in Tanzania...?Cos personally i would want you to enjoy yourself though you are away from home. I have lived abroad and i know how it feels, but i would make that country my home away from home...and enjoy myself BIG TIME! With that amount of anger Smatta,no you are not at the level you claim to be ...!! I might be wrong though.
 
Nadhani sasa tuachane na story za hawa ****coz the language they talk is strange and of its kind on earth. They are desparate neighbors. hii ni baada ya kubanwa kila elevation. Nchi yao inaendeshwa kiujangili wa hali ya juu. For restance, the world is screeming on the Somali pirates, but kenya is the one which used to clean those ill gotten money. Somali are buying nairobi in collaboration with kikuyu. But the government has never uttered any word on the matter while have a full information. This is very sad to know. The country has no order, all is done is to cultivate the impunity. Kny is now the father of entertaining the wrong doors. Money for them is the first thing then diginity follows. You can misuse the kenyans the way you like provided you promised to pay money. This reveals in the current documentary covered by DW-radio/swahili on how young children in Kenya are being missused in the tourism industry. The example of Magarini village in mombasa is typically resembling to what is happening in tourism of Thailand. It is very sad to pronounce it. But because the country is scanty, the authorities dont feel that as a problem.
 
Smatta, are you interested in having a sensible discussions or not...you seem to be so angry...whats the matter? If you are here in Tanzania and you are loaded i guess you would be taking things easily...but from what i see in your writings, clearly, you seem very frustrated...tell me, are you really enjoying yourself here in Tanzania...?Cos personally i would want you to enjoy yourself though you are away from home. I have lived abroad and i know how it feels, but i would make that country my home away from home...and enjoy myself BIG TIME! With that amount of anger Smatta,no you are not at the level you claim to be ...!! I might be wrong though.

Hahahaha, thanks bana, am not angry as such, i just dont like the way some dudes talk about my mama land. And BTW am not in Tanzania, was there during the xmass hols though. am not trying to brag or anything, am sorry if that is how i came out
but if you have read the comments that some of these people write, i swear i'm restrainimg myself.

And FYI, am not claiming to be at any level, with all that Kibera talk some of this dudes are doing, and am more than sure that am living better than most of these cats trash talking Kenya... and before i forget, i dont care about what any of y'all think about smatter.
 
Nadhani sasa tuachane na story za hawa ****coz the language they talk is strange and of its kind on earth. They are desparate neighbors. hii ni baada ya kubanwa kila elevation. Nchi yao inaendeshwa kiujangili wa hali ya juu. For restance, the world is screeming on the Somali pirates, but kenya is the one which used to clean those ill gotten money. Somali are buying nairobi in collaboration with kikuyu. But the government has never uttered any word on the matter while have a full information. This is very sad to know. The country has no order, all is done is to cultivate the impunity. Kny is now the father of entertaining the wrong doors. Money for them is the first thing then diginity follows. You can misuse the kenyans the way you like provided you promised to pay money. This reveals in the current documentary covered by DW-radio/swahili on how young children in Kenya are being missused in the tourism industry. The example of Magarini village in mombasa is typically resembling to what is happening in tourism of Thailand. It is very sad to pronounce it. But because the country is scanty, the authorities dont feel that as a problem.

Eliakeem joh, what did we do to deserve all this bashing, seems like youve got your google game in check. keep watchin us small brothers lest you lose your step.
 
Nimeisha waambia wachangiaji wengi tu, hawa Wakenya wanapenda sana kutoa matusi na kashfa kwa WTZ lakini ukiwarudishia matusi wanakufungia. Wewe hujiulizi matusi yote hayo tunayoporomoshewa bado wapo hapa tena wanaendelea kutukana .
 
i for one, would like the whole damn kenyan government to go to rwanda and learn how to efficiently run a government. there are so many things kenyan leaders can learn from their rwanda counterparts on how to effectively run a govern and administrate.

we kenyans wish our politics would be as peaceful as tanzania's. it is something we want to learn from tanzania. i am not ashamed to say that.

and i dont see anything wrong with tanzanian officials going to kenya to learn how to operate a seaport. tanzania officials can learn how to properly run an effective stock exchange market from the Nairobi Stock Exchange(NSE)

for those of you who think that kenyans just want to praise themselves then i suggest you read a kenyan newspaper. reading a kenyan newspaper you might think it is the worst country in africa!!! kenyans critisize their country more than other people do.

if you cant admit that kenya is doing something better than tanzania then there is something seriously wrong with tanzanians. you dont have to like kenyans but but if kenyans are doing something better than you then u try and learn from them, IT IS NOT A CRIME!!!! It is actually a very smart thing to do.

it is very clear that some of you tanzanian forumers on this forum are sufferring from inferiority complex.
 
Back
Top Bottom