What Is Your Strategy?

Wewe ni bwana 'perfectionist'....
Mi nakushangaa mbona ukayaanzishia na mjadala.....
Hehheee kaka, its all good bana acha wajuvi wadadavue. Mi najionea poa tu
. Mm ninhekushauri just be yourself.....
Lol! Dada nataka nisikilizie upande wa pili naona watu wamekuwa wakiruka
 
Hahaha! Mbu dah, soulmate nae ananiambia maswali yangu sijui huwa nawaza nini

....usijali bro,...la msingi fata mkondo mapenzi yanavyokupeleka---ila, ishi within your principles---
sio anatokea mlimbwende anakuyumbisha mpaka hujitambui tena...

...jijengee mpangilio na maendeleo ya maisha yako, hususan malazi, kazi (career), na afya yako...
haya ya mapenzi mnh,...unatafuta stress tu za ajabu ajabu..
 
TF oa bana kama hujaoa, achana na mambo ya strategy bin mkakati afterall strategy involves thinking na kwenye kupenda bongo huwa inakwenda likizo,upo hapo Mkuu? it is the heart which loves not the brain.
 
Truth to be told, for you to find love or to be found by love, you have to strategise, Even after you have found love , or after love has found you, you also need to strategise to keep it. Almost everything in life requires some form of strategy.

Najua humu ndani kuna members ambao wameoa na kuolewa sasa ningependa kusikia kutoka kwao na uzoefu wao "Did they have any strategy for getting married"? kwa maneno mengine naweza kusema "For those of you that are married, what was your strategy for getting married"?.

Na wale ambao hawajaoa au kuolewa.....Do you have any Strategy for getting married?

TF i guess we share some stuffs mpka ukauliza swali kama hili.
Well, me cjaoa. lakini me pia hua najiuliza "is there anything 1 can do to be in love"??
hua najiuliza hivi simply kutokana na uelewa na tafsiri yangu on "love"
kua, love is noo descisional, its automatic, yaani kama hujafeel basi huafee na huwezi kufanya chochote
ili ufeel. ila hutokeatu mtu unajikuta unafeel bila kuamua.
So, kujibu swali lako. Ili uoe, to the best of my understanding and even feelings;
lazima uwe na mtu unaempenda kwa dhati.yani moyo, akili na mwili wako vimpende bila shaka. yoyote.
kama huyo mtu hayupo hata ukitamani kuoa hutooa. tofauti na ukiwa nae,
ata kama hujaplan kuoa at that time waweza jikuta umeoa.
kwa maana hiyo basi, kma hujafall inlove huwez kua na strategy ya kufall hivyo huwezi kua na strategy ya kuoa.
lakini pia kama umefall unaweza kua na strategy.
Hivyo nahitimisha kua kuoa ni suala la kihisia zaidi ambazo unaweza kuziwekea mipango ya kuzitekeleza
zaidi ya kua ni suala la kimipango zaidi ambalo unaweza kuliwekea hisia.
 
....usijali bro,...la msingi fata mkondo mapenzi yanavyokupeleka---ila, ishi within your principles---
sio anatokea mlimbwende anakuyumbisha mpaka hujitambui tena...

...jijengee mpangilio na maendeleo ya maisha yako, hususan malazi, kazi (career), na afya yako...
haya ya mapenzi mnh,...unatafuta stress tu za ajabu ajabu..
Mbu nimekupata vizuri loud and clear mkuu ni kweli haya mambo huwa yana stress za ajabu sana you can imagine sana
 
TF i guess we share some stuffs mpka ukauliza swali kama hili.
Well, me cjaoa. lakini me pia hua najiuliza "is there anything 1 can do to be in love"??
hua najiuliza hivi simply kutokana na uelewa na tafsiri yangu on "love"
kua, love is noo descisional, its automatic, yaani kama hujafeel basi huafee na huwezi kufanya chochote
ili ufeel. ila hutokeatu mtu unajikuta unafeel bila kuamua.
So, kujibu swali lako. Ili uoe, to the best of my understanding and even feelings;
lazima uwe na mtu unaempenda kwa dhati.yani moyo, akili na mwili wako vimpende bila shaka. yoyote.
kama huyo mtu hayupo hata ukitamani kuoa hutooa. tofauti na ukiwa nae,
ata kama hujaplan kuoa at that time waweza jikuta umeoa.
kwa maana hiyo basi, kma hujafall inlove huwez kua na strategy ya kufall hivyo huwezi kua na strategy ya kuoa.
lakini pia kama umefall unaweza kua na strategy.
Hivyo nahitimisha kua kuoa ni suala la kihisia zaidi ambazo unaweza kuziwekea mipango ya kuzitekeleza
zaidi ya kua ni suala la kimipango zaidi ambalo unaweza kuliwekea hisia.
Tasia umeongea mambo mengi ya msingi sana naweza kusema ni kweli inawezekana kuwa we share the same thing
 
TF oa bana kama hujaoa, achana na mambo ya strategy bin mkakati afterall strategy involves thinking na kwenye kupenda bongo huwa inakwenda likizo,upo hapo Mkuu? it is the heart which loves not the brain.
Hahaha! Bishanga mkuu sijaoa ila nitaoa mkuu
 
Najua humu ndani kuna members ambao wameoa na kuolewa sasa ningependa kusikia kutoka kwao na uzoefu wao "Did they have any strategy for getting married"? kwa maneno mengine naweza kusema "For those of you that are married, what was your strategy for getting married"?.

Na wale ambao hawajaoa au kuolewa.....Do you have any Strategy for getting married?

Strategy for getting married? I'm lost in the woods!!
 

....mr rocky umeona ee? ha ha hahahha....i can imagine the finest chumbani kwake ana ubao na chaki....

Math+Formula.jpg


kila siku ana formulate na ku- strategize new equations za kumpata perfect partner...kumbe in real life kila siku mchumba/mke/mume anakuibukia na equation mpya...

Kabisa mkuu naona anajitengenezea strategy zake mwqenyewe kukaa na mchumba. Sasa humu kashapata mbinu kutoka kwa MMJ1, AshaDii na kwako na Rocky anapata kila kitu
 
Mkuu leo naona unaambaa na mimi lol sina strategy bana najaribu kuangalia upande wa pili wa hii kitu

Upande upi huo mkuu. Maana wala usitegemee kila kitu kitaenda the way unavyopanga iwe. Ni kwamba hakuna formula maalum ni wewe tuu utakavyoamua kujipanga
 
may be i should quit venturing into marital punditry coz i ain't got the credentials...lol

what say you mr. Brother-man from the motherland?

ha haaa its not about credentials..
Its about taking the risk and put up with all the garbage that comes with it...
Can you?
I believe marriage is not for everyone....so maybe not for you too...lol
 
Back
Top Bottom