mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
Mie interest yangu ni hiyo picha ya kulia ya shule. Siku zote uwa najiuliza swali hili:
"Ni kwanini viongozi wanaweza kuishi maisha ya kifahari wakati tunatoa huduma mbovu za jamii kama hiyo shule inavyoonyesha"
Hela za V8 zipo na bado tunajenga nyumba ya 1.5bilion kwa ajili ya Gavana na wasaidizi wake lakini kujenga shule hatuna hela?????? Shame on you!
Wajibu wa wawakilishi wetu ni nini? TAFAKARI
Kile kudude cha like hakipo mkuu, ila pokea like yangu,
hapo ndipo wengi huwa tunashangaa, yani bei ya V8 moja wanajenga shule na nyumba za walimu lakini wapi na bado watz tumelala tu!? sijui ni ujinga?, sijui ni ujuha? sijui tumelogwa?, yaani sielewi kabisaaaaa!