BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Sioni sababu za msingi za kupokonywa.
Timu 31 zinazoenda WC ni timu bora zaidi duniani ktk kanda wanazotoka...hivo kule hakuna vibonde, ndio maana timu za Afrika zilishawahi kugawa maumivu kwa mabingwa watetezi (ref. Cameroon vs Argentina, Senegal vs France). Hivo kigezo cha ukibonde hakipo applicable..
Thank you Mkuu!