What is This In CHADEMA ? six months ? Tupeni jibu hapa


Mkuu wangu, nilikuwa sijui kuwa Lipumba nae ni kiongozi wa CHADEMA. Nadhani mambo yanakwenda haraka kuliko nilivyodhani. Kama si kiongozi wa CHADEMA na kama anakiri kutojua taratibu za uchaguzi ndani ya chama hicho, anapata wapi mamlaka ya kutoka public na kulaumu taratibu hizo (asizozijua)? Nilidhani yeye kama kiongozi wa chama kitaifa na msomi aliebobea, angekuwa na busara ya kupata ukweli na kuuchambua kabla ya kusema au kutoa hukumu kama alivyofanya. Hasa maelezo mengi yanapokuwa yametolewa kuhusiana na sababu za kuahirisha uchaguzi huo au kutangazwa kwa matokeo.

Ni dhahiri kuwa, kama uchaguzi ulikuwa una makosa mengi, hata uhalali wa matokeo unapotea. Hakuna haja ya kutangaza matokeo ya uchaguzi mchafu. Hivyo ni vyema kuchunguza na kujiridhisha kuwa tuhuma za uchafu wa uchaguzi huo hazipo, ndipo kuyatangaza matokeo hayo.

Vile vile, sioni unazungumzia chama kuwa driven kwa tribe gani, ya Dr. Slaa alietangaza au ya nani hasa?

Kwanini Chadema wamemwalika Lipumba? kwa hiyo wakati wamemwalika wenyewe kwanini asiwaambie ukweli kuwa mnapindisha Democras..
Mbona Lipumba anazungumza sana kuhusu kupindishwa kwa Democras ktk ccm,mbona hata chadema wanazungumza kupindishwa kwa democras ktk ccm,au sisi hatuna haki ya kuhoji chadema inavoendeshwa kishaghlabaghla. wakiwa wataharibi Democras kila mtu ana haki ya kuwatolea macho,na sio itolewe macho kwa ccm tu. mkiambiwa inakuumeni lkn huo ndio ukweli.
 
Kwanini Chadema wamemwalika Lipumba? kwa hiyo wakati wamemwalika wenyewe kwanini asiwaambie ukweli kuwa mnapindisha Democras..
Mbona Lipumba anazungumza sana kuhusu kupindishwa kwa Democras ktk ccm,mbona hata chadema wanazungumza kupindishwa kwa democras ktk ccm,au sisi hatuna haki ya kuhoji chadema inavoendeshwa kishaghlabaghla. wakiwa wataharibi Democras kila mtu ana haki ya kuwatolea macho,na sio itolewe macho kwa ccm tu. mkiambiwa inakuumeni lkn huo ndio ukweli.

Na alihudhuria kwa mbwembwe. Huko kuna sitting allowance mkuu.. Pesa mbele!!! Njaa!!!! Wanafiki tu kama Kakobe anayepigia debe vyama kwa kufuata upepo!!! Nakumbuka 1995 alivyokula sahani moja na Mrema akisema katika maono ndiye RAIS. Kwisha!!! Na Lipumba fuata upepo hivyo hivyo, hakuna kitu na uprofesa wake!!! Kama ana ubavu mbona bwiiii kila uchaguzi??? Kwishnei ni CUF tu kwa Tz Bara. Abaki Pemba tuu, aombe iwe nchi awe RAIS.
 
Hivi Mwiba unaitakia nini CHADEMA wewe?
Naitakia maendeleo yasiyo na utata ,chama kilicho na uwazi (ingawa kunakuwa na mambo ya ndani) lakini sio kinaingia katika migogoro kirahisi na kwa sababu nyepesi kabisa ,ona hili la miezi sita hapa hata asiekuwa na chama ataona pana udikteta japo haupo,yaani jambo ambalo lingeweza kufanyika ndani ya wiki mbili au tuseme mwezi ,tuchukulie miezi mitatu lakini miezi sita ,this is too mucha.

Ingawa sijui kwa misingi gani hata kufikia miezi sita ,yaani kuanzia sasa hadi kufikia miezi sita huenda pia usifanyike kwani wakati huo kutakuwa na hekaheka za uchaguzi mkuu ,mnataka kutuambia wakati watu wanajiandaa na uchaguzi mkuu wa TZ,nyinyi mtakuwa mnachaguana kwenye uchaguzi wenu wa ndani.Na kwa wakati huo mtakuwa na udhibiti gani ambao mlishindwa kuuchukua sasa kuzuia yaliotokea yasitokee wakati huo ?Hamuoni kama ni kutia maji kwenye pakacha.
 
Nakubaliana na Dr. Slaa kuwa matokeo hayo yanaweza tu kuwa halali katika chama cha mafisadi na si chama makini kama CHADEMA. Sababu zilizotolewa zinatosha kabisa kubatilisha matokeo ya uchaguzi wowote wa watu makini na lazima ufanye uchunguzi makini ili kujua chanzo cha matatizo na hatua nzuri ya kuchukua hivyo miezi sita ni sawa.

Kumbuka tu Lipumba amesemea maana yeye hakupinga ila amesemea kwamba jamani mnavyofanya sivyo mnapindisha mambo mambo, aliepinga na hata kwenye habari kuu ametajwa kwa jina ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema ,yeye ndie aliepinga ,sasa isiwe mnalalia kwa Slaa tu kwani Naibu katibu wenu nae ana haki ya kulinda Chama ,ningefurahi kama WaChadema wangetoa msimamo wa Kwa nini Zitto alipinga msimamo wa Slaa.

Inawezekana waliochaguliwa sio chaguo la Slaa ,na na Zitto aliona haki inapindishwa kwa kuwa walioshinda walishinda kihalali ,plus or minus 20 votes ,sio tatizo kubwa sana la kuahirisha matokeo na kufanyika uchaguzi baada ya miezi sita .
 
Kwanini Chadema wamemwalika Lipumba? kwa hiyo wakati wamemwalika wenyewe kwanini asiwaambie ukweli kuwa mnapindisha Democras..
Mbona Lipumba anazungumza sana kuhusu kupindishwa kwa Democras ktk ccm,mbona hata chadema wanazungumza kupindishwa kwa democras ktk ccm,au sisi hatuna haki ya kuhoji chadema inavoendeshwa kishaghlabaghla. wakiwa wataharibi Democras kila mtu ana haki ya kuwatolea macho,na sio itolewe macho kwa ccm tu. mkiambiwa inakuumeni lkn huo ndio ukweli.

Calipso,

Imeelezwa chaguzi zote Vijana/Wanawake hakuna aliyefikisha zaidi ya asilimia hamsini hivyo huwezi kutangazwa wewe mshindi. Hilo ndo JIBU.
 
Inawezekana hicho kipengele hakipo kwenye katiba; walikisahau kwasababu hawakutegemea watakutana na hali kama iliyowakuta!!!

Ninapata shida sana kuamini kama hicho kipengele hakipo.

Pili, ninadhani uchaguzi ndani ya Chadema umepigwa zengwe na kwa makusudi kabisa ili kudhoofisha team iliyokuwa inapingana na Mwenyekiti aliyeko madarakani. Ni wazi kabisa uamuzi wa Zitto wa kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema ilikuwa inaambatana na mabadiliko mengi ndani ya Chadema ikiwa ni panoja na ya viongozi wengine wa juu. Lakini inaonesha (kwa tathmini yangu) kuna baadhi ya wanaChadema bado hawako tayari kufanya na kupokea mabadiliko ya kweli yanayotokana na alama za nyakati. Aidha, hii ni ishara ya uwoga iliyojengeka ndani ya mawazo na fikra za wachache na kusahau kuwa kazi yao waliyoifanya inahitaji kuendelezwa na watu wengine katika fikra mpya.
Baadhi, hasa wale waoga katika kuleta mabadiliko wataidumaza Chadema kwa maslahi ya watu wachache au kundi dogo miongoni mwao.
Endapo kweli Chadema haina kipengele kinachojitosheleza katika kufanya maamuzi kama hayo ya kuahirisha uchaguzi kwa miezi 6, basi itaonekana ni njama za kuwasogeza mbali wale wote ambao walikuwa tayari kuleta changes ndani ya Chadema.
 
Calipso,

Imeelezwa chaguzi zote Vijana/Wanawake hakuna aliyefikisha zaidi ya asilimia hamsini hivyo huwezi kutangazwa wewe mshindi. Hilo ndo JIBU.

Duh! yaani hio ndo kwanza nikuskie wewe,yaani hao viongozi wa chadema waliozungumzia uchaguzi wanasema Kafulia kashinda kwa asilimia zaidi ya hamsini, na kama ni kweli maneno yako,kamanda Zitto naye hajui sheria hiyo? oooh! hiii ndo chadema.
 
Back
Top Bottom