What is the real aim behind the campaign 'Stop Kony'?

Kumbe hao wanaharakati ndiyo walishawishi hadi US wapeleke wanajeshi. Lakini kama imekuwa coincidence na kugundulika kwa mafuta Uganda, au ilipangwa tu ili US waweke maslahi yao pale?
 
So what will happen is that, the U.S will help Uganda to stop Kony then they will repay themselves with the oil extracts in N. Uganda as they did in Iraq and Libya!

I heard Tanzania has also found potential oil extracts somewhere in the south. I hope it doesn't lead us to this kind of state.
 
Museven anapelwka jeshi nchi nyingine atashidwaje kumfutilia mbali Kony? Huu mgogoro ni sawa na ule wa Sri-Lanka , Tamil Tigers walikuwa wanasumbua miaka mingi sana, kuna viongozi serikalini walikuwa wanasuport waasi, mpaka alipoingia rais ambaye aliamua kuwafungia kazi, sasa hivi Sri-Lanka ni shwari hamna cha Tamil Tigers.
 
sio kama ameshindwa ndugu yangu, huyo jamaa yupo hapo kwa maslahi ya wakubwa wachache. inasikitisha sana
Uko sahihi. Uganda in moja ya majeshi bora Afrika mashariki, imekuwa ikitumia fedha nyingi sana za walipakodi kununulia vifaa vya kijeshi. (Utakumbuka wakati Mwalimu amefariki Mseveni alileta transport plane kubwa ambayo haiko JWTZ kwa ajili ya kusafirisha waombolezaji kutoka Dar kwenda Musoma). Museveni ndie amiri jeshi mkuu na mkuu wa majeshi ya Uganda. Ana vifaa vingi vya kivita. Mambo mawili yako hapa: moja, ameamua kuwaacha wananchi wa eneo la kaskazini wateseke kwa kuwa ni sehemu ya Obote, Okelo na Amini, pili anatumia sababu ya vita hiyo kuendelea kufanya manunuzi makubwa ya vifaa vya kijeshi na ujue kuwa pale ndio wanapata pesa za uhakika. hazina ukaguzi. hebu angalia mlolongo wa vifaa kama nivyouchuka "wikipedia". Angetaka angemshinda tu.

[h=2]Current air force equipment[/h]
AircraftOriginTypeVersionsIn serviceNotes
Mikoyan-Gurevich
MiG-23 Flogger
22px-Flag_of_the_Soviet_Union.svg.png
Soviet Union
Multi role fighterstatus unknown
Sukhoi Su-30MK2
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
Multi role fighter6Delivered July 2011 for $740 million (Shs1.8 trillion)[SUP][17][/SUP]
Mikoyan-Gurevich
MiG-21 Fishbed
22px-Flag_of_Poland.svg.png
Poland
22px-Flag_of_Israel.svg.png
Israel
Multi role fighter66 MiG-21 Bis\U Delivered. Upgraded by IAI (MIG-21-2000)
Aero L-39 Albatros
22px-Flag_of_the_Czech_Republic.svg.png
Czech
Light attack/ trainer4
Aermacchi SF-260
22px-Flag_of_Italy.svg.png
Italy
Light attack-trainer2delivered
Mil Mi-24 Hind
22px-Flag_of_the_Soviet_Union.svg.png
Soviet Union
heavy attack helicopter1with five further 'Hinds' unserviceable of a total of 12 Mi-24 delivered
Agusta-Bell AB-206 JetRanger
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
USA
Utility helicopter ?status unknown of a total of 10 delivered
AB.212
22px-Flag_of_Italy.svg.png
Italy
Light transport helicopter8A total of 10 delivered.
FFA AS-202 Bravo
22px-Flag_of_Italy.svg.png
Italy
basic trainer2status unknown
Bell 412
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
USA
Light helicopter ?status unknown. A total of 9 delivered.
Gulfstream G550
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
USA
VIP Transport1
Mil-17 Hip-H
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
Medium transport helicopter7status unknown. A total of 5 Mil Mi-8 and 8 Mil Mi-17 delivered.
Agusta A-109
22px-Flag_of_Italy.svg.png
Italy
utility helicopter2status unknown
Lockheed Martin
C-130-20 Hercules
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
Transport aircraft
1status unknown
 
Naomba mods waunganishe thread hii na ile nyingine, 'What are the real aims behind the campaign Stop Kony?' kwa sababu tunajadili jambo moja. Ahsante!
 
mkuu usikudie kuifanya wikipedia refference. Izo data za wikipedia hazifika hata robo ya data kamili.
 
huyo KONY ni nani,nimeona status facebook na video sema internet yangu mbaya,sijaweza kufuatilia,....mtu anisamarizie please,anajihusisha na nn? ni terrorist au?
 
Kampeni hii imeshika moto kwa kasi sana, hasa kwenye mitandao ya kijamii.




msikilize huyu hapa chini kwa umakini




mpaka watoto



sasa mtoto mdogo kama huyu ana uelewa gani wa mambo yanayoendelea Afrika? mimi nadhani hawa jamaa walioanzisha hii kampeni wako kibiashara zaidi. hivyo kilichobaki saa hizi ni kuhusisha watoto hao na wengine wanaokubali vitu kwa urahisi . kwa kutumia mitandao ya kijamii ili ku monopolize ajenda yao. na ajenda yao kubwa kila utakapofuatilia kiundani ni donations etc..
 
Last edited by a moderator:
huyo KONY ni nani,nimeona status facebook na video sema internet yangu mbaya,sijaweza kufuatilia,....mtu anisamarizie please,anajihusisha na nn? ni terrorist au?

Nadhani ukisoma kwa umakini comments utaelewa kila kitu. Kama kuna lingine linatatiza sema tufafanue..
 
So what will happen is that, the U.S will help Uganda to stop Kony then they will repay themselves with the oil extracts in N. Uganda as they did in Iraq and Libya!

I heard Tanzania has also found potential oil extracts somewhere in the south. I hope it doesn't lead us to this kind of state.
Hayo mafuta na rasilimali sio zetu...Wenyewe ndio hao wanaondesha war on terror na kueneza domokrasi.
It is a matter of time...mkakati ulianza na milipuko ya mabomu kwa zile balozi za US.....misaada ya kijeshi/mazoezi ya pamoja chini ya AFRICOM.
Congo na Uganda wameshajipeleka kama washauri wa kijeshi(covert ops), Kenya ameshaingizwa vitani. Sudan imegawanywa tayari..
Pitia link iliyopo post 12# uone mkakati wao.
 
Ukoloni unarudi Afrika kwa kasi ya ajabu. Tunachoshindwa kukistukia ni mbinu zinazotumika, ukichanganya na kwamba waafrika hatutilii maanani kufuatilia na kuchambua historia yetu. Matokeo yake, kwa maoni yangu, tunasahau kilichotutokea hapo awali kirahisi sana. Wazungu, au wakoloni kwa maneno mengine, "hawakutupa" uhuru kwa sababu walipenda. La hasha. Walilazimika kufanya hivyo baada ya kupoteza uwezo wa kuyamudu makoloni yao baada ya vita kuu ya pili. Kwa sababu uchumi na miundombinu yao viliharibiwa vibaya sana kufuatia vita, hii ilirahisisha nchi nyingi za Africa kupata/kudai uhuru. Kitu walichofanya ni kutuachia "uhuru" wa kisiasa wakati wakiendelea kushika hatamu za kiuchumi kupitia viongozi vibaraka na pale ilipowezekana kuwaondoa viongozi waliokuwa na misimamo (mifano ipo mingi). Eti mpaka leo hao hao waliotutawala ndio wanaotushauri ni namna gani "tutaendelea" na ndio hao hao wanaotupa "misaada" (peremende ambazo viongozi wetu wametokea kuzipenda sana kwa maslahi yao wenyewe).

Mbinu zilizotumika wakati huo kuvamia na kutawala Africa ndio mbinu hizo hizo zinajirudia ila sema hizi ni enzi tofauti. Waafrika kila tunapotegwa tunanasa. Huwa ninashangazwa wakati mwingine kuona viongozi wetu wanajiona ni "marafiki" na wazungu wakati ni wazungu hao hao wanaowaangamiza. Hata mtu kama Gaddafi (ambao wengi wetu wanafikiri alikuwa mwanamapinduzi) pia alinaswa na alijiona ni rafiki mkubwa wa Berlusconi, Tony Blair na Sarkozy. Matokeo yake ndio hayo tuliyoyaona hivi karibuni. Sasa watu kama M7 (ambaye anajiona ni mwanamapinduzi) naye anafuata yale yale yaliyowatokea wenzake bila kujistukia. Sio M7 peke yake, karibu maraisi wote wa kizazi hiki Afrika ni mamluki wa wazungu. Hivyo ina maanisha viongozi wetu wanahusika kufagia njia ili wakoloni kurudi tena. Safari hii itakuwa vigumu sana kujikomboa tena kutoka kwenye makucha ya mabeberu na wakoloni wa kileo.

Simtetei mtu kama Kony ila najaribu kuangalia swala zima kwa mapana na marefu. Inahitajika somo la historia, inavyoonekana toka upande wa mwafrika, na sio mzungu (afrocentric view of history) litiliwe mkazo ili turudishe heshima na kujitambua tulikotoka na tunakoelekea. Vinginevyo tutaendelea kutawaliwa kiuchumi na kimawazo kwa miaka mingi ijayo. Kwa hivi sasa sio siri kwamba waafrica tunazidi kujiona duni mbele ya wazungu, tofauti na miaka iliyofuatia uhuru wakati swala zima la kujitambua na kujivunia uafrika lilipewa kipaumbele.

Nawasilisha.
 
Adam Branch
Senior Research Fellow
Makerere Institute of Social Research


March 8, 2012
Kampala, Uganda

From Kampala, the Kony 2012 hysteria is easy to miss. I’m not on Facebook or Twitter, and I don’t watch YouTube—but over the last twenty-four hours, I have received dozens of emails from friends, colleagues, and students in the US about the video by Invisible Children and the massive on-line response to it.



I have not watched the video. As someone who has worked in and done research on the war in northern Uganda for over a decade, much of it with a local human rights organization based in Gulu, the Invisible Children organization and their videos have infuriated me to no end—I remember one sleepless night after I watched their “Rough Cut” film for the first time with a group of students, after which I tried to explain to the audience what was wrong with the film while on stage with one of the filmmakers.


My frustration with the group has largely reflected the concerns expressed so eloquently by those individuals who have been willing to bring the fury of Invisible Children’s true believers down upon themselves in order to point out what is wrong with this group's approach: the warmongering, the self-indulgence, the commercialization, the reductive and one-sided story they tell, their portrayal of Africans as helpless children in need of rescue by white Americans, and the fact that civilians in Uganda and central Africa may have to pay a steep price in their own lives so that a lot of young Americans can feel good about themselves, and a few can make good money. This, of course, is sickening, and I think that Kony 2012 is a case of Invisible Children having finally gone too far. They are now facing a backlash from people of conscience who refuse to abandon their capacity to think for themselves.



But, as I said, I wouldn’t have known about Kony 2012 if it hadn’t been for the emails I’ve been receiving from the US. I have heard nothing about Kony 2012 here in Kampala because, in a sense, it just does not matter. So, as a response to the on-line debate that has been going on for the last couple days, I want to explain why, from here, Kony 2012 can be ignored.



First, because Invisible Children is a symptom, not a cause. It is an excuse that the US government has gladly adopted in order to help justify the expansion of their military presence in central Africa. Invisible Children are “useful ******,” being used by those in the US government who seek to militarize Africa, to send more and more weapons and military aid, and to build the power of military rulers who are US allies. The hunt for Joseph Kony is the perfect excuse for this strategy—how often does the US government find millions of young Americans pleading that they intervene militarily in a place rich in oil and other resources? The US government would be pursuing this militarization with or without Invisible Children—Kony 2012 just makes it a bit easier. Therefore, it is the militarization we need to worry about, not Invisible Children.



Second, because in northern Uganda, people’s lives will be left untouched by this campaign, even if it were to achieve its stated objectives. This is not because things have entirely improved in the years since open fighting ended, but because the very serious problems people face today have little to do with Kony. The most significant problem people face is over land. Land speculators and so-called investors, many foreign, in collaboration with the Ugandan government and military, are trying to grab the land of the Acholi people, land that they were forced off of a decade ago when they were herded into camps. Another prominent problem is nodding disease—a deadly illness that has broken out among thousands of children who grew up in the government’s internment camps, subsisting on relief aid. Indeed, the problems people face today are the legacy of the camps, where over a million Acholi were forced to live, and die, for years by their own government. Today’s problems are the legacy of the government’s counterinsurgency, which received full support from the US government and international aid agencies.



Which brings up the question that I am constantly asked in the US: “what can we do?”, where “we” tends to mean American citizens. In response, I have a few proposals. The first, perhaps not surprising from a professor, is to learn. The conflict in northern Uganda and central Africa is complicated, yes—but not impossible to understand. For several years, I have taught an undergraduate class on the conflict, and although it takes some time and effort, the students end up being well informed and able to come to their own opinions about what can be done. I am more than happy to share the syllabus with anyone interested! In terms of activism, I think the first thing we need to do is to re-think the question: instead of asking how the US can intervene in order to solve Africa’s conflicts, we need to ask what we are already doing to cause those conflicts in the first place. How are we, as consumers, contributing to land grabbing and to the wars ravaging this region? How are we, as American citizens, allowing our government to militarize Africa in the name of the War on Terror and securing oil resources? That is what we have to ask ourselves, because we are indeed responsible for the conflict in northern Uganda—however, we are not responsible to end it by sending military force, as Invisible Children tells us, but responsible for helping to cause and prolong it. In our desire to ameliorate suffering, we must not be complicit in making it worse.

Source: Friends of the Congo: Adam Branch Tackles The Kony Issue
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom