Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Kuna baadhi ya vitu siyo siri tena ndio maana hata wizara ya afya wanaweka kwenye mtandao wao wa pmtct...just google utaona hayo makitu yote. Ni namna ya kusaidiana tu na kuwafanya watu wakapime.nimesikitishwa na watu watu wanaotoa hiz maada za code jaman kama kuna mtaalamu azingatie maadili ya taaluma yake hata hao google hawachambui yote.hiz taaluma zina siri jaman kuwen watii.na taaluma ya afya.wengine waishie kujua panadol tu sio yote.