Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Mkuu @PakaJimmy, unamaanisha hiyo 1 waliyoongeza hapo ina maana ya positive? nimejribu kukusom between the lines nikahisi kama ndiyo unavyomaanisha! Au nimekusma vibaya?
Mkuu,
Umeboa!
Hii kitu haina raha yoyote kuongelea hapa majukwaani, especially kama unayemwongelea ni mwandani wako!
Una raha gani aisee?
Kakaeni kama familia na mkeo muongelee jinsi ya kukabiliana na challenge ya maisha haya na yajayo, na jinsi ya kumlea mtoto wenu mtarajiwa, na zaidi kumwepusha na tatizo!
Andamana na mkeo muwaone medical practitioners mara moja!