What is Mental Strength??

Tangawizi

JF-Expert Member
Jun 25, 2009
5,171
3,893
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini kuwa physical toughness inachukua nafasi kubwa kumfanya individual kuonekana imara.Lakini mfululizo wa mambo mbalimbali yanayotokea yananithibitishia wazi kuwa physical strength peke yake bado haitoshi...katika mazungumzo yangu na jamaa mmoja hivi karibuni alinidokeza hii dhana ya ukosefu wa mental strength as a big factor for failures in most of the circumstances.
Najua kama nataka kuwa physically fit ntatumia muda fulani kufanya mazoezi yatakayonowezesha kuwa hivyo.
Ningependa kuwauliza wenzangu, ili kupanua uelewa wangu, hivi what is mental strength nini? Je na mazoezi au mambo ya aina gani yatanisaidia kuweza kuongeza strength hiyo ili nijenge uwezo wa kufanya vizuri katika maisha?
 
Hili ni neno pana lakini nitajaribu kulielezea niwezavyo...

Mental strength au wengine wanita mental toughness
ni uwezo wa kuweza kuhimili mikikimiki ya maisha. Ni
ku-control inner-world (how you feel) bila kujali
outside-world (circumstances).

Nipale unapo endelea kufanya kile unachokitaka kufanya
bila ya kujali kama utafanikiwa au la (courage). Mfano
kama umeanzisha biashara na hukufanikiwa badala ya
kuanza kujiona huwezi biashara, (ukiwa na mental strength)
utajaribu kutafuta njia nyingine bila kujali yaliyo tokea.

Pia kama umepata matatizo "mental strength" ni uwezo
wa kutafuta jinsi ya kuyaondoa.Mfano kama umefukuzwa
kazi badala ya kuanza kutwanga maji ili kupunguza
mawazo mwenye "mental strength" hukaa chini na kupanga
jinsi ya kupata kazi nyingine.

Mental strength inaweza kuwa ni uwezo wa kukubali hali
halizi ya mambo yaliyo tokea na kuyakabili. Mfano kama
umempa binti fulani mimba badala ya kumkana unakaa nae
na kuanza kupanga jinsi mtakavyo mlea mtoto.

Mental strength pia ni kuwa na "emotional intelligence"
nikimaanisha uwezo wa ku-control emotions wakati wa
maamuzi. Mfano nimesoma hapa JF kuwa Shayrose
alimrushia simu mgombea mwezake mtarajiwa kwasababu
aliambiwa anagombea ili kutafuta mume.

Yeye hakuweza kufanya maamuzi sahihi na kuacha emotions
zake kum-control. kama angekuwa na "emotional intelligence"
wakati ule angeweza kujua kusudi la yule aliye mdhihaki
na angetakiwa kutabasamu (japokuwa inauma).
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini kuwa physical toughness inachukua nafasi kubwa kumfanya individual kuonekana imara.Lakini mfululizo wa mambo mbalimbali yanayotokea yananithibitishia wazi kuwa physical strength peke yake bado haitoshi...katika mazungumzo yangu na jamaa mmoja hivi karibuni alinidokeza hii dhana ya ukosefu wa mental strength as a big factor for failures in most of the circumstances.
Najua kama nataka kuwa physically fit ntatumia muda fulani kufanya mazoezi yatakayonowezesha kuwa hivyo.
Ningependa kuwauliza wenzangu, ili kupanua uelewa wangu, hivi what is mental strength nini? Je na mazoezi au mambo ya aina gani yatanisaidia kuweza kuongeza strength hiyo ili nijenge uwezo wa kufanya vizuri katika maisha?

Kuongezea tu hoja ya chamoto, mental strength ni ability ya kuweza ku-cope with different life circumstances (mainly unforseen) whilst not loosing your sanity, by being demoralized, a quitter or even procastinating your plans unneccessarily.

It is important to maintain the sanity as once you start associating outside influence as a problem, you might loose focus and it may lead into blaming the third party (circumstances) as associated with ur failures. Rather than seeking other realistic alternatives to get you out of those undesired outcomes/situations (this is when you need ur mental reasoning the most),by applying a different approach the outcome might not be the same but you wont be dwelling on circumstances. Therefore maintaintaining your reasoning ability by being able to deal with whatever life throws at you, without excuses.

Loosing your mental strength can produced severe consequences such as loosing your selfesteem, and once that is gone your no longer the 'I' it may lead into personalities disorder such as stress and other mental illnesses.

To avoid the situation step away from negative individuals, put ur mind into regular excercise such attending gym, reading books and giving time to urself in the form of socializing.

NOTE:
Weakening mental strength is a white a man tool to mess up ethnic minorities cognitive perspective of things and keeping them at the lower strata of the social heirachy. Through arrassments by using the law enforcement bodies such as the police, imprisonment, direct racism at work and other sectors, by introducing unfavourably policies and all 'his' other evils to distract their mental abilities. Those that come from poor background are most likely to suffer the most because of want and harsh circumstances set about in where they reside.
 
mental strength ni uwezo wa kudili na matatizo ambayo umeyategemea/usiotegemea bila ku-over react na kufanya mambo ya ajabu

wanasema kuanguka si tatizo bali tatizo ni jinsi utakavyoamka na kuendelea na safari na hapa ndio mental strength yako inapojulikana, watu wata ku judge baada ya wewe kuendelea na safari.
 
Simply put, mental strength is personal ability to use your mind and wisdom to take control of your actions and decision, regardless of external circumstances. I haven't figured out if it is god-given of acquired through life challenges... All I can say is, it can be the best thing human being have and can be used as the best weapon against you as a human.

You can looks at examples of Late pope J Paul II, Mahatma Gadhi, JK Nyerere, Osama bin Laden, Hugo Chavez, robert mugabe, Nelson Madela, Fidel Castro... reading about them and their life experiences can help you understand this concept.:spy:
 
Back
Top Bottom