Mkuu wangu nchi maskini sio lazima ziwe chini ya Tanzania. Oman maskini na hata ukizungumzia GDP wanazidiwa na nchi kibao maskini pia, tena basi wanalingana na Sudan tazama data zote za IMF, World bank na hata CIA upate uhakika. Kwa hiyo sii GDP inayo ashiria Utajiri wa nchi ila GDP ni kiungo kikubwa kinachowezesha kwa wenye kufahamu maana.Mkandara ulivyosema Oman ni nchi masikini sijakuelewa. Navyojua GDP per capita ya Oman ni kubwa kuliko TZ.
Mkandara wrote "Nchi kama Oman ambazo Sultan wake alifikia kututawala sisi mbona nazo maskini"