MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Mkuu, watu walimchagua Kikwete kwa sababu alikuwa ni mgombea wa CCM na hivyo hivyo ingekuwa kwa mgombea yeyote wa CCM. Suala la Kikwete kushinda kwa kishindo hilo ni jingine na halimaanishi kwamba angeshindwa kama hangekuwa na mvuto!!!
That's why mkuu nika sema the CCM machinery builds personalities. They build personalities among the party. Angalia kama UK. UK haijalishi nani ni mgombea bali chama kipi kipo juu pindi ya uchaguzi. Angalia hata Mkapa. Mkapa hakuwa na personality yoyote ikabidi Mwl Nyerere ambae ndiyo the most charismatic leader ampige tough. I could be wrong but that's the way I see it at the moment but I am objective about myself.