R,Nimependa swali la d, mara nyingi watu sisi wa kibongo tunasubiri serikali ije itufanyie for everything, very wonderfull.
M M,
Picha hizo zinatuonyesha kuwa hatuna Serekali za Mitaa na Serekali kuu iko katika Likizo ya Muda mrefu.
inasema nini kuhusu sisi wananchi..?
inasema nini kuhusu sisi wananchi..?
Nimekubaliana na wewe kwa sehemu nyingine kasoro hizo nilizoweka nyekundu!!Dear Fatmas!
Nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa. Watu wenye rangi nyeusi ni viumbe wa ajabu hapa duniani. Hakuna haja ya Mzee Mwanakijiji kuhoji mwanzo wa uchafu na watawala wa CCM walikuwa au wako wapi ? (CCM na mfumo wake wa uchumi na utaweala is long dead and buried)au hata wengine kumkejeli kwamba hajafika bongo siku nyingi.
Let me tell you kuna haja ya kutafakari kwa kina maoni ya Fatmas.
Nilitembelea nchi kadhaa Afrika na Asia wameamua kuendeleza na kusimamia dhana hii ya kufanya mwenyewe. They call it DIY(Do it yourself) kwa mfano ukifika home ukaona uchafu au uwanja haujafagiliwa just chukua fagio na ufagie mwenyewe hata kama mamsapu /housegirl/houseboy or even your kids are around. This is the only way we can make things go .
Hivyo hivyo kwa mambo yote hata kama ni nje ya fence yako just do it your self mpaka kuosha sahani by so doing mambo yatakwenda. Wanaozungukwa uchafu huko Msasani, Msimbazi au keko they must blame themselves first after all hakuna wanachofanya manisipaa apart from kujaza matumbo yao take it from me and that is the reality.
Mzee Mwanakijiji tuachane na hii tabia ya kulaumiana after all we have not entered into any formal contract na hawa mabwana kutufanyia usafi so what hata kama hawazoi sisi we are all powerless tunajivunia tu uchaguzi fake!!!
Waone SUMTRA NA POLICE walianza kukomalia reckless daladala bila kujua ya kwamba ni za watawala. Akatokea mjinga mmoja anaitwa Lukuvi Rais waw DAR akawapiga stop. Initialy wakambana akayield but only for a week, lakini Baadae akaenda kaa na kamati ya siasa wakaambiana huu ni mwaka wa uchaguzi so kill the Majembe Contract for a while mpaka tupate kura and you see Majembe wakingia mtini na fujo za vipanya na bajaji ziko pale pale .
So take it as a lesson hawa majambazi wako tayari kutoa kafara maisha ya watu ili mradi tu washinde therefore uchafu is here to stay unless tutumie mbinu ya fatmas otherwise imekula kwetu na tutachonga sana!!!!
Nadhani ukisoma historia ya Ulaya, utakutana na janga lililojulikana kwa jina la 'black death'. Hili lilisababishwa na UCHAFU. Hivyo ni muhimu kukumbuka...wenzetu wana historia ya kuishi katika communities kwa muda mrefu kuliko sisi. Wao wana experience ya miaka kama 1000. Kwa hiyo tunapoangalia muenendo wa maendeleo yetu, tufanye hivyo bila kujishusha hadhi kwa kujiona kama 2nd/3rd class citizens. Its just that we are 500 years behind the developed world.Hakuna kipya hapo. Wengi wetu humu tumekulia ktk mazingira hayo. Tumekula chipsi mayai na chipsi dume zilizopikwa karibu na matakataka kibao. Halafu nzi wakija kufukuzia msosi wetu tulikuwa tunawapenga (swat) tu halafu hao tunaendelea kula.
Tumekula sana maembe ya pilipili yaliyokuwa yanauzwa nje shuleni. Tumekula sana mabungo na vitu vingine vingi tu ambavyo baadhi yetu leo tukiambiwa turudie hali ile tunaweza tukapoteza fahamu kabisa.
Kwa hiyo binafsi sishangai na sishangazwi kabisa na huo uchafu. Hii haina maana siuoni kuwa ni tatizo. La hasha. Ni kwamba tu hakuna jipya. Kama ilivyokuwa mwaka 1990 ni ndivyo ilivyo sasa 2010.
Na kama mnaona huo ni uchafu kupindukia basi hamjaona uchafu bado. Nendeni Lagos kwa Wanaija mkajionee. Kwa kifupi ni ndivyo tulivyo.
I believe tukianza wananchi, serikali italazimika, let say tuna garbage bin kubwa mwisho wa mtaa, ni wajibu wetu kuita serikali ije itoe katupe dampo, maana mtaa tutakuwa tumesafisha wenyewe.
Mtoto!Nimekubaliana na wewe kwa sehemu nyingine kasoro hizo nilizoweka nyekundu!!
1. Watu wenye ngozi nyeusi HAWANA tofauti na watu wa rangi nyingine yeyote. I believe ukimchukua mzungu na mwaafrika ukawakuza katika similar environment...wote watakuwa na uwezo sawa!! Kinachomfanya mwaafrika aonekane duni...ni mazingira! Kama wewe umekuwa katika mazingira machafu, basi HUTAWEZA kuona tofauti kati ya usafi na uchafu.
Nadhani ukisoma historia ya Ulaya, utakutana na janga lililojulikana kwa jina la 'black death'. Hili lilisababishwa na UCHAFU. Hivyo ni muhimu kukumbuka...wenzetu wana historia ya kuishi katika communities kwa muda mrefu kuliko sisi. Wao wana experience ya miaka kama 1000. Kwa hiyo tunapoangalia muenendo wa maendeleo yetu, tufanye hivyo bila kujishusha hadhi kwa kujiona kama 2nd/3rd class citizens. Its just that we are 500 years behind the developed world.
Nadhani mwaka 1930, Stalin alitoa speech nzuri sana. Alisema..."We are 50 to 100 years behind the West. We must make good this gap in 10 years. We either do it, or they will crush us". [hii sio direct word to word quotation]. But as you may gather...at the turn of the 20th century, Russia was so far behind the 'West', kitu ambacho kilimtisha Stalin. It's time we realise that and take action.
2. I believe we have a formal contract with the government. I have agreed to them to rule me, in return, they have to perform certain services to me. These services include cleaning the environment surrounding my immediate household...eg: barabara! Ndo maana zikaitwa public roads. It is NOT my job to clean them!!
So what can we do?
Kuna mteremko wa jinsi ya kupeleka malalamiko yako:
1. Mwenyekiti wa mtaa
2. Katibu Kata
3. Diwani
4. Mbunge
5. Mkuu wa Wilaya
nk
Sasa ni wewe mwenyewe u-take action na kupeleka malalamishi yako. Mnaweza kuandika a petition kama jamii husika na kumpelekea mmoja wa hao.
Mtoto!
Nakushukuru kwa mchanganuo wako mzuri. But at the end of the day itabidi wote tuungane na Fatmas ! We can talk mpaka uchaguzi the only way out hata kama naonekana kinganganizi we have to DIY do it yourself. Mitizamo ya kuitegemea serikali iwe ya mitaa au Kuu hatupeleki kokote kwani imeshindwa almost kila kitu kwa hiyo hili la usafi wa mazingira na buboresha mitaro ya maji angalau hata ya mvua linawezekana tukiamua kwa dhati!! Sorry for late reponse maisha yako taiti and as you all know vijisenti vya uchaguzi are becoming loose kwa hiyo we have to strike the balance....