Hebu 'bashiri' personality ya SMU kwa kuangalia hiyo avatar yangu tu!hukujua hio?
Rejao ________
ukiweka us dollar nafikiri itaendana lol...
Kafanyaje huyu?
Nilikuwa namview tu..yupo njema sana
ID yangu Mzizi Mkavu kama ujuavyo Mzizi mkavu hauchimbwi dawa. Na avatar yangu ni ya Madawa (Herbalist) haya tena sjuwi wingine ID zao na Avatar zao zinaashiria kitu gani mkuu....
weye mcharuko
unaongelea kukufahamu
akati mie nakujua!!!!
Kongosho, em jaribu avatar yangu...unaongelea kukufahamu
akati mie nakujua!!!!
Hhhm. . nilipitwa hapa au nimeanza kupoteza kumbukumbu?
Kongosho, em jaribu avatar yangu...
kongosho anaweza kuwa na jibu.....
by the way... hivi ile thread ya umewapa nini boys wa JF... imefikia wapi niliona kwenye saiti mira tu kwa mbaaali