King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Mie nilikua naipenda signature yako ya 'ukiuza utumbo usiogope inzi'. Nna mpango wa kuandamana kwa thread hadi uirudishe
Yangu je navutiwa na nini?
Yangu je navutiwa na nini?
Mie nilikua naipenda signature yako ya 'ukiuza utumbo usiogope inzi'. Nna mpango wa kuandamana kwa thread hadi uirudishe
mkwe inabidi unitaftie hayo mazaga zaga.lol, hivi na wewe hunilogi kweli maanake nisipokuona jf lazima nisign out muda huo huo.
duh mkuu hiyo avatar yako mbona kama dental formula zimejichanganyaUkijihalishia kwenye daladala la Mbezi/Tegeta/Gombs/Mbagala ufanyeje?
Hahaha haya ngoja niirejeshe kumbuka "Mnazi haukwewi na msuli"
Hehehe,ntashukuru manake ilikua inanikumbusha wale inzi wa kizungu wa buluu hivi unawakuta wamefunika utumbo hadi hauonekani!
napasha..ready for anythin maana nji hii maskhara yamezidiful madisko...shake shake tl down..au upo gym?
au unamvutia kasi?
mi sina avatar... Unadhani mi nkiweka avatar gani itaendana na jina langu?
Nnacho mkwe,nitakukodisha. Tena cha kidhungu,ukifanikiwa kusoma basi NN hakusumbui tena.
Mi nahisi tunalogana,ujue mtu na mkwewe wanatakiwa wawe wanagombana. Tugombane next wknd basi juu ya kope
ID yangu, avatar na signature yangu vinaendana na mimi nilivyo.
Kumbe hata hichi ki button changu kinaweza kinaweza kuni 'expose' jinsi nilivyo!...Jaribu kuelezea personalities from avatar and ID.
Intelligent, great thinker and charming: hupend kujionesha. Thats great madame!
nimesmile mpaka mapengo yangu yameonekana. Lol!
Santeeee.
Ni kweli uko ivo? Au unasmile tu. Wewe ni mipasho mipasho, Isha mashauzi.