MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 834
Japo tuna endeshwa na mafisadi, serikali mbovu, miundombinu mibovu na kadhalika lakini tuna mengi ya kuji vunua juu ya Tanzania. Je ni nini una jivunia kuhusu Tanzania? Maana hizi story za ufisadi zime tufanya kwa muda tukazanie mabaya ya Tanzania tuki sahau yale mazuri. Mimi binafsi I love the social life in Tanzania.