Tambalizeni anasema JK anatafuta misaada Tanzania Inufaike.je ni kweli hii?
Huyu Mganga nae anatupa hadithi gani? tumeshiba kusikia longo longo zake msanii JKnimemsikia Sheikh Yahya kupitia radio fulani ya kidini akimwaga sifa za ajabu kwa JK akisema amevunja record ya kutoa hotuba kwa masaa 3 bila ya kuchoka na ilikuwa kama chakula kwa kila mtu
.hotuba yake ambayo ni kama nguvu za muujiza ama Mungu