daughter
JF-Expert Member
- Jun 22, 2009
- 1,275
- 745
Wakuu salama?
Naombeni msaada wa mawazo yenu kuhusiana na kichwa cha uzi. Nini kinasababisha delay ya menstration au labda ovulation?
Kwa mfano cycle yangu ilikuwa 28 days constant kwa muda mrefu,lakini the last two cycles zimekuwa 35 na 36,nini tatizo?is it something to worry about au?kama kuna madhara ni yapi na ni vipi ninaweza kuyatatua?
Natanguliza shukrani.
Naombeni msaada wa mawazo yenu kuhusiana na kichwa cha uzi. Nini kinasababisha delay ya menstration au labda ovulation?
Kwa mfano cycle yangu ilikuwa 28 days constant kwa muda mrefu,lakini the last two cycles zimekuwa 35 na 36,nini tatizo?is it something to worry about au?kama kuna madhara ni yapi na ni vipi ninaweza kuyatatua?
Natanguliza shukrani.