inamaana saiv huna lady wako mnayependana? , km yupo hebu muombe ushauri uone atakushauri nn....mtu hawezi kurudia matapishi yake aseeeeh!30*2/ halafu 60/60
je akizaa mapacha
Unakuwa na wanne maisha yanaendele
sijala bhana
The girl whom i love so much refused me when i was 16 yrs old. Now she's coming to me with 2 babies so what can i do?
The girl whom i love so much refused me when i was 16 yrs old. Now she's coming to me with 2 babies so what can i do?
kongosho poa tu,ila wewe mpaka nakosa la kusema
Broda!
Its like you are good in comedy!
sasa we huoni ananiweka njia panda?
dah sometimes mapenzi ni hisia mwali,dah,unakuta unampenda na kuwa naye huwezi,so nini inakubidi ufanye?Yngekua huna hisia yoyote ungemwambia tu NO na unegeendelea na maisha. Hivi umelifikisha hapa maana yake umeshindwa kukataa. Ikiwa huna mpenzi mnginem na yeye hana, ongea nae baasi ujue anataka nini hasa. Kama atakubali uhusiano wa karibu bila ndoa kaa nae kwa nza hivo umsome. Ukiridhishwa endeleeni, usipo ridhika achaneni. Just give it a try.
Ila kua makini Excellent, anaweza akajituma kubeba mimba tena ili kukulazimisha kumuoa, so always play safe.