jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Tuachiwe uhuru wa kujiamulia mambo yetu sisi wenyewe bila kigezo cha msharti kwasababu ya madeni, pia kama ikishindikana, tufanye mambo yetu wenyewe na kulipa madeni kwa masharti yetu sisi wenyewe huku tukijiletea maendeleo, hilo tutaweza?Tufanye nini? Inawezekana tumefika mahali ambapo hatuwezi kuepuka tena?
Shida kuu ya uchumi wa nchi yoyote ile, ni kuhusiana na madeni waliyonao, kama ikionekana kuwa serikali inaweza isiyalipe madeni hayo kama ylivyo kwenye makubaliano(fear of default), basi hakuna kitakachowezekana zaidi ya uchumi kuanguka.