Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,250
Kikwete aache visasi na chuki za kiasiasa,ukweli ni kwamba Mkullo na Ndulu wameshindwa ku-deliver and they should be ejected.Dr. Kigoda apewe wizara ya fedha na pia kikwete angeweza kumsogeza ata Prof. Mbilinyi hawa wangemsaidia sana kuliko kung'ang'ania watu waliofeli ku-deliver.
Kisheria Ndullu hawezi kufukuzwa na Raisi ninavyokumbuka na hata akimwomba ajiuzulu kistaarabu hii inaweza kusababisha matatizo makubwa zaidi maana watu watazidi kupoteza confidence na BOT mbayo itasababisha shillingi kuporomoka zaidi.