Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,987
Some few months ago (In April to be precise) I wrote this thread: https://www.jamiiforums.com/hoja-nzito/125963-on-the-brink-what-is-troubling-tanzanian-economy.html
In it I asked these questions:
Na watu wengi walitoa majibu ya kina na mengine ya kudokeza. Leo hii hali ya uchumi inazidi kuwa tete hasa kama factors nyingine zote zikichukuliwa. Kwa mfano hatujui kama lile jengo la serikali lililonunliwa limenunuliwa kwa mkopo au cash na hilo la kutoa kiasi hicho cha fedha kutoka kwa Tanzani kuna athari gani katika uchumi wetu (as far as I know haikununuliwa kwa mkopo - I stand to be corrected).
Sasa katika hali inayoendelea sasa hivi kweli kuna namna yoyote ya kuokoa uchumi au ndio kama wenzentu wanavyosema finally the "the chickens are coming home to roost".
Je ndio wakati wa CCM na serikali yake kujikuta wanalazimishwa kulipa gharama ya sera na utendaji wao? Je ndio wakati ambapo Tanzania hatimaye itajikuta inalazimishwa kulipa gharama ya kuruhusu mfumo wa utawala wa kifisadi? Je, nani ataitwa kuikoa Tanzania endapo uchumi utaanza kuwa vurugu hasa bidhaa za kila siku (vitunguu, nyanya, mikate n.k) zitakapoonekana kuwa ni za juu kuliko uwezo wa watu wetu wengi?
In it I asked these questions:
I have not taken enough time to study or read about the Tanzania economy but few days ago I have been asked to have a look ya ripoti mbalimbali na hasa hali ya kiuchumi. Well..almost everybody is mentioning things in apocalyptic language.. things like "doomed, collapse, disaster"..
So is there anybody who knows and can shade light on the state of our economy? What is going on and is there any reason whatsoever to be concerned at all?
Na watu wengi walitoa majibu ya kina na mengine ya kudokeza. Leo hii hali ya uchumi inazidi kuwa tete hasa kama factors nyingine zote zikichukuliwa. Kwa mfano hatujui kama lile jengo la serikali lililonunliwa limenunuliwa kwa mkopo au cash na hilo la kutoa kiasi hicho cha fedha kutoka kwa Tanzani kuna athari gani katika uchumi wetu (as far as I know haikununuliwa kwa mkopo - I stand to be corrected).
Sasa katika hali inayoendelea sasa hivi kweli kuna namna yoyote ya kuokoa uchumi au ndio kama wenzentu wanavyosema finally the "the chickens are coming home to roost".
Je ndio wakati wa CCM na serikali yake kujikuta wanalazimishwa kulipa gharama ya sera na utendaji wao? Je ndio wakati ambapo Tanzania hatimaye itajikuta inalazimishwa kulipa gharama ya kuruhusu mfumo wa utawala wa kifisadi? Je, nani ataitwa kuikoa Tanzania endapo uchumi utaanza kuwa vurugu hasa bidhaa za kila siku (vitunguu, nyanya, mikate n.k) zitakapoonekana kuwa ni za juu kuliko uwezo wa watu wetu wengi?