Hapana,mmoja mchawi na anatumia mashetani, mwingne ni muabudu Mungu. Mmoja anatafuta jinsi ya kuua viongozi wakati wa kampeni mwingne uenda kugombea uwakilishi bungeni. Mmoja ni mjasiriamali,mwingne ni muajiriwa! Mmoja ni mlinzi wa rais wakati wa giza,mwingne ni mtetezi wa rais hadharani. Mmoja ni ThesisLess PhD holder/gift paper PhD na mwingne ni mbumbumbu. Wote si mfano wa kuigwa ktk jamii.