vivi bwana wanyama pori gani tena? basi wanawake wanaweka wanyama wa kufuga kama ma....buzi labdaWanaume wanaweka magari yao tinted ili kubebea wanyama pori.
je kwanini wadada wengine wanaweka tinted kwenye magari?
Wanaume wanaweka magari yao tinted ili kubebea wanyama pori.
je kwanini wadada wengine wanaweka tinted kwenye magari?
kweli!Mamito hujambo, hawataki kokodolewa macho na wengi ni waathirika wa Carolight kwahiyo jua ni adui yao.
Viv, hii ni moja ya usalama tuu kwenye gari. Wale vibaka wa kiarabu wasione kwa haraka ndani ya gari kuna nini cha kubeba. Wanaume hatuna nia mbaya...kinadada wengi wanavunjiwa magari yao kwa sababu vipochi na laptop zao zinaonekana kwakiwa wamepaki au kwenye foleni.
Mamito hujambo, hawataki kokodolewa macho na wengi ni waathirika wa Carolight kwahiyo jua ni adui yao.
kweli!
hata kidogo.....!! jaribu uone!!Positive thinking. hii nimeipenda, but......Kumbe karoli laiti haipendi jua eeh!!Kwani karoli laiti na jua haviendani?
wanaojichubua hugundua madhara wakiwa wameshachelewa wanaingia gharama ya kununua Bio oil kila wiki kichupa chenyewe kidogo sijui elfu 25 wanadai kinasaidia kupunguza madhara ya jua kwa kizazi cha Carolight.Kwani karoli laiti na jua haviendani?
wanaojichubua hugundua madhara wakiwa wameshachelewa wanaingia gharama ya kununua Bio oil kila wiki kichupa chenyewe kidogo sijui elfu 25 wanadai kinasaidia kupunguza madhara ya jua kwa kizazi cha Carolight.
kumbe nawe ni wa carolight ? si uliniambia weupe wako wa asili ?mmmmh! Bio oil unaninulia mwenyewe halafu sahv unayaponda. Khaa!
utapata rangi moja kama ya gauni la bebii!!hebu kesho ni apply kwa uso. sasa kama mimi ni mweupo nikipaka carol light nakua wa rangi gani tena?