kwanini hiyo hesabu ianzie Japani?
inachekesha (absurd) sana...................pale siku manabii watapokubalik pale mahala watokako ndio tutapiga hatua kama Japan na Malaysia
Hazina tunazo.....TUMEKOSA UTASHI wa kila aina wa uwajibikaji na utekelezaji
......mfano mdogo....JF tukisema tunaitwa MAGAIDI.................akina Lowassa wakituletea mvua za Thailand na Richmond wanaitwa HEROs na kupokelewa na zulia jekundu na Askofu kumsindikiza.......what a shame!!
Hivi Wajapan wao walijifunzia wapi huo utaalamu?
..........Japan
Kama hatuna wataalamu wa mikataba nadhani kuna uwezekano kuwa pale SUA hakuna mtu ambaye amewahi kusikia "agro-mechanics".. hivyo nadhani ni bora tulete wakufunzi wa mambo hayo...
Okay...sasa sisi je...?
ndio hivyo wanakuja hao wa Japan kutazama wapi tunapokosea watushauri, tukifata haya tusifate haya. They have got nothing to lose.
Kama hatuna wataalamu wa mikataba nadhani kuna uwezekano kuwa pale SUA hakuna mtu ambaye amewahi kusikia "agro-mechanics".. hivyo nadhani ni bora tulete wakufunzi wa mambo hayo...
ndio hivyo wanakuja hao wa Japan kutazama wapi tunapokosea watushauri, tukifata haya tusifate haya. They have got nothing to lose.
...but we have a lot to lose.
Kuna topic nilianzisha inafanana na hii.
Miafrika bana tunashangaza sana...eti hadi namna ya kuzalisha msosi lazima tufundishwe....
Wha is it that we havent lost as yet?
Na wale waTaalam wetu waliopo nje ya Afrika wakitowa ushauri? Kumbuka hakuna ajuwae kila kitu ndio maana kuna kushauriana kuna kubadilishana mawazo, haya ni mambo ya kawaida kabisa duniani mimi nawashangaa nyinyi mnayoyaona kuwa ni mageni, hata sijuwi mnaishi dunia gani, ya kusadikika?
Sasa kwa nini hayo mataalamu yasirudi Afrika kusaidia kuleta maendeleo?
Ni kweli hakuna ajuaye kila kitu lakini usiniambie katika mijitu millioni 40 hatuna watu wanaojua mambo ya kilimo.