Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,935
- 6,844
Waafrika Ndivyo Tulivyo kama binadamu na si wanyama kama tuwajuavyo wanyama. My friend, that is not complicated logarithm....
Mimi Fundi na si mhandisi kwa hiyo sikusomea logarithms! Mwenzako Invicible alipotufananisha na nyani si ulimpigia makofi? msiwe flippant na matumizi ya maneno! lakini yote tisa, tumeelewana. Tuendelee na mada.