Whaaat ? Kwenye mfuko wa Rambo tena ??

UmkhontoweSizwe

Platinum Member
Dec 19, 2008
8,517
7,719
Police in southern Bangladesh say a woman cut off a man's penis during an alleged attempt to rape her and took it to a police station as evidence.

"She said she fought back and cut off his penis and brought it to our police station in a polythene bag to prove that Mr Mazi tried to rape her," police spokesman Abul Khaer told the BBC


Wanaojifanya wakware sasa kazi kwao. Kama mbinu hizi mpya wasipojihadhari nazo, basi siku moja tutazikuta nanii zao polisi zikiwa kwenye mifuko ya Rambo na wao wako hospital wanauguza makovu.
Akipona nadhani wampe akaweke kwenye museum.


Source: BBC News - Bangladesh woman cuts off 'attacker's' penis
 
kweli hakuna solution
nzuri kama hii ... nimeipenda sana

kama kweli mtu anakubaka
na ukawa na nguvu za kujivuta
na kuondoa mtarimbo mmmmhh
utakuwa umewasaidia wengi sana.
 
kweli hakuna solution
nzuri kama hii ... nimeipenda sana

kama kweli mtu anakubaka
na ukawa na nguvu za kujivuta
na kuondoa mtarimbo mmmmhh
utakuwa umewasaidia wengi sana.
Afro, ukiondoka nao unaupeleka wapi sasa?
 
Aisee, hakikisha wanawake wa Bongo hawasomi hii, maana wataitumia kulazimisha malipo ya juu toka kwa clients wao!

PJ, wakiitumia kudai malipo ya juu itakula kwao, maana watajiharibia soko hata la malipo hayo madogo.
 
Back
Top Bottom