TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Wezi hao waliuwa na wananchi/wanavijiji kuanzia Ijumaa, ambapo wezi 67 waliuliwa siku hiyo huku wengine 23 wakiuwa usiku kwa kutumia zana za jadi.
Wezi wa ng'ombe wamekuwa wakiwasumbua mara kadhaa wanavijiji hao , huku wakipewa kiburi na maofisa mafisadi nchini humo.
Polisi limepelekwa maeneo hayo ili kuepusha mauaji ya kulipiza kisasi.
Chanzo>>>AFP: 100 killed in Madagascar cattle rustling unrest
Wezi wa ng'ombe wamekuwa wakiwasumbua mara kadhaa wanavijiji hao , huku wakipewa kiburi na maofisa mafisadi nchini humo.
Polisi limepelekwa maeneo hayo ili kuepusha mauaji ya kulipiza kisasi.
Chanzo>>>AFP: 100 killed in Madagascar cattle rustling unrest