Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
Jamaa wawili waliiba embe kiroba kizima wakakimbilia mochwari bila kujua,
wakati wanaingia wakaangusha embe 2 mlangoni, mlinzi hakuwaona alilala aliposhtuka akasikia jamaa wanagawana " hii yako hii yangu", mlinzi akakimbilia kumwita doctor "njoo usikie malaika na shetani wanagawana maiti", walipofika tu mlangoni,
wakasikia "na zile mbili tulizoacha mlangoni?"
doctor na mlinzi mbioo!.......................LOL
wakati wanaingia wakaangusha embe 2 mlangoni, mlinzi hakuwaona alilala aliposhtuka akasikia jamaa wanagawana " hii yako hii yangu", mlinzi akakimbilia kumwita doctor "njoo usikie malaika na shetani wanagawana maiti", walipofika tu mlangoni,
wakasikia "na zile mbili tulizoacha mlangoni?"
doctor na mlinzi mbioo!.......................LOL