Wezi wa BoT wazuiwa kusafiri nje

Nakubaliana na baadhi ya wachangiaji kwamba hawa watu washitakiwe kwa mujibu wa sheria na pia walipe riba maradufu.

Wasiwasi wangu ni kwamba,Tutathibitishaje kuwa hizo hela zimerudishwa??Inaweza tokea press conference wakaitwa waandishi wa habari,kwamba watuhumiwa wamerudisha pesa,waadishi wakapewa hilo tamko la katibu mkuu kiongozi,wakaandika basi ikaishia hapo?Kumbe ni maneno matupu tu ya kufunika kombe mwana haramu apite.

Ninaonyesha wasiwasi huo kwa sababu wananchi wamekuwa wanadanganywa na ahadi kemkem nyingi kuwa matatizo yao yatashughulikiwa na serikali lakini kumbe ni hewa kama Richmond.

Ninavyofahamu utawala huu ulianza kwa mbwembwe nyingi sana za kuleta maisha bora,lakini leo petrol TZ SH 1540 KWA LITA jijini Dar.Hayo mamilion 600??? ya ki america kama ni kweli,hizo si pesa chache inabidi yarudipo ionyeshwe kwa dhahiri yatatenda kitu gani.
Na serikali ya SISIEM wanavyoona tena 2010 inakaribia,watatumia hata mashushu kuzusha mitaani kuwa mambo yanaenda sawa kumbe wanaficha kitu.

Hizo hela warudishishapo mafisadi nasi tuzihisi huku mtaani kwamba kuna unafuu,au wale wazee wasitaafu wa iliyokuwa jumuia ya Afrika mashariki wasionekane tena mitaa ya hazina kuranda randa wakipigwa jua,walipwe mafao yao.
Walimu walipwe malimbikizo yao au wazielekeze hizo pesa ktk shughuli ambayo wananchi wataiona,La sivyo tutapewa maneno matamu ya MABILION YA JK KILA MKOA.KUMBE Kulikuwa na visenti,na wananchi wakadhalilika kutwa nzima NMB,CRDB N.K

SERIKALI IWE WAZI KWA WANANCHI WAKE KATIKA KILA HATUA INAYOCHUKUA KATIKA HILI
 
Unajua Dar tatizo la kaka yako JK haeleweki priorities kwa nchi za sasa ni nini na pia mipango yake haieleweki maana siku zote katika leadership kuna immediate plans (ambazo ndani ya hii 2 yrs tungekuwa tumeona matunda yake) na zile longterm plans sasa sijui bro kachanganya zoote maskini!!!!!!!

Nji ina hela (live cash) hii wewe kama mtu amedhamiria kupambana vilivyo ndani ya two yrs anweza akafanya maajabu ambayo hayajaonekana for the last 46 yrs. Lakini kiusanii sanii kama ilivyo sasa atakuwa kila siku anatafuta excuse na kusubiri pensheni.

January hii nilikuta nondo kibao kwa ndugu yangu mmoja wa huko kwa govt akikompaili eti mafanikio ya serikali ya awamu ya nne, cha kushangaza hata yeye haamini kama hayo mafanikio yapo lakini ndio kwaanza alikuwa bize kukremu na kuchora charts and graphs.

Hivi huyu JK huwa anajisomea kweli??????, I mean ni msomaji Dar kama unaelewa niambie ni aina gani ya mambo huwa anapenda kujisomea nna Book flani nataka kumzawadia.
 
Wengi wanashangaza sana hasa wale wanao towa tuhuma ya kuwa pesa zimeibwa zikaenda kwenye kampeni ya JK ya 2005, hivi kama msemayo ni kweli na ushahidi mnao, kwa nini msiende mahakamani? au ndio lazima mseme tu? Au hakuna ushahidi wa kutosha?

Jee, kuna sheria inayozuia raia yeyote kwenda kushitaki?

Dar Es Salaam, ahsante sana kwa majibu mazuri. mimi nakubaliana na wewe moja kwa moja, na nilishasema huko nyuma kuwa tunafanya mambo bila kuangalia hali halisi ya condition in dar.

wananchi ni lazima, i repeat ni lazima tuwe nyuma ya jk kwa sababu ni yeye peke yake ambaye a least amejaribu kucorrect the whole ufisadi issue. he is not perfect, but in this 2005-2010 he is the best we got.

jk ni president na ccm chairman which means he can pretty much do what he wants. we saw what mkapa did and no one could question him.

sasa mkitaka kumtuhumu jk kwa pesa zilizosaidia uchaguzi 2005 wakati mnajua kabisa kuwa waliohusika ni wengine even though jk alibenefit overall tutakuwa wajinga wa hali ya juu.

what happens kama jk akiona kwa nini apambane na mafisadi ambao ni asilimia kubwa ya watu wenye nguvu tz, wakati wananchi wenyewe wanaona na yeye ni fisadi, which is false//

jk ana vita kubwa and on this we have to support him 100 percent.


tusiwe tunatumia analog system wakati mambo ni digital siku hizi.

wataalam tuwekeeni cost/benefit analysis ili mprove kuwa lazima tuwe nyuma ya jk.

of course lazima tuendelee kuipush govt na jk wafanye more, but we have to use mossad tactics hapa ili mafahari wapigane na wananchi tupate nafasi. jk akicircle wagons around mafisadi we are finished.

we should play chess not checkers


my 2 cents
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom