Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Weweeeee!!Namshukuru mungu nimetimiza miaka miwili kamili kwenye Ndoa bila ngumi wala matusi,wala kwenda viwanja na vimini!!Karibuni kwenye sherehe yangu!!!Najua kuna watu watasema kuwa ni kipindi kifupi ila kwangu najua ni muda wa kusherehekea kwa kuwa kuna majirani zangu hazipiti siku ni maneno kwenda mbele,kashfa, dharau na matusi juu!!Pia ukizingatia kipindi hichi cha utandawazi kila mtu anajua haki yake ya kutendewa kile ambacho nafsi yake inakitaka bila kufikiria yuko wapi na nani!!!
Sina budi kusema mungu nipe uvumilivu niendelee hivyo kama walivyoishi mababu zangu!
Sina budi kusema mungu nipe uvumilivu niendelee hivyo kama walivyoishi mababu zangu!