Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
- Thread starter
- #21
Jinga...............yani ningekuwa mimi huyo mdada, ningemuacha huyo mwanaume, kha! yaani anasikilizia mkewe anavyoenyeshwa ye kamute tu uvunguni hata kumnyatia na kumtandika panga alishindwa
Tena basi alikuwa katulia uvunguni huku akisikiliza miguno ya huyo mjamaa na huku mkewe akiugulia maumivu makali