Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Binti mmoja alichumbiwa na mwanajeshi mmoja. Wote wawili walikuwa wanapendana sana.
Siku moja yule binti alitaka kumpima mchumba wake aone anampenda kwa kiwango gani.
Binti akamwandikia mchumba wake kumwambia."Nimeamua kusitisha uchumba na wewe
coz nimepata mchumba mwingine anayenipenda zaidi. Naomba unirudishie picha yangu uliyochukua"
Mjeda alipopata barua kutoka kwa mchumba wake; alisononeka sana.
baada ya kufikiri sana, akapata wazo ili angalau naye apunguze machungu.
Akaomba picha za wake zamarafiki zake pale kambiniakapata karibu picha 200,
akaandika barua ya kumjibu akasema
"Nimekusahau, wewe ni nani? Angalia katika picha hizo uchukue picha yako.
Hii ndio inaitwa UKIZINGUA...TUNAZINGUANA
Siku moja yule binti alitaka kumpima mchumba wake aone anampenda kwa kiwango gani.
Binti akamwandikia mchumba wake kumwambia."Nimeamua kusitisha uchumba na wewe
coz nimepata mchumba mwingine anayenipenda zaidi. Naomba unirudishie picha yangu uliyochukua"
Mjeda alipopata barua kutoka kwa mchumba wake; alisononeka sana.
baada ya kufikiri sana, akapata wazo ili angalau naye apunguze machungu.
Akaomba picha za wake zamarafiki zake pale kambiniakapata karibu picha 200,
akaandika barua ya kumjibu akasema
"Nimekusahau, wewe ni nani? Angalia katika picha hizo uchukue picha yako.
Hii ndio inaitwa UKIZINGUA...TUNAZINGUANA