Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Nadhani wengi wetu tumepata kusoma na tupo ambao tunaendelea kusoma katika baadhi ya vyuo hapa nchini na hata nje ya nchi.
Na katika kupata elimu huko vyuoni huwa kuna hali ya wanafunzi kushindwa kuendelea na chuo kutokana na kufeli(DISCONTINUETION maarufu kama KU-DISCO) Na wengine kufeli baadhi ya mitihani hivyo kutakiwa kuirudia(SUPPLIMENTARY maarufu kama SAP)
Swali langu; je ingekuwa kila uki-SAP somo au KUDISCO wanakata lile joho lako la kuvaa siku ya mahafali, Wengi wetu tungevaa likiwaje???
Nikianza na mimi mwenyewe nahisi Lingebakia kama koti la Suti,
Najua kuna ambao wao yao yangebakia kama Leso, Kaushi, Fulana, vipeperushi tu...
Hebu tujuze wewe lako lingebakiaje/ungevaa likiwaje???
Jumapili njema wakuu just for funy...
Na katika kupata elimu huko vyuoni huwa kuna hali ya wanafunzi kushindwa kuendelea na chuo kutokana na kufeli(DISCONTINUETION maarufu kama KU-DISCO) Na wengine kufeli baadhi ya mitihani hivyo kutakiwa kuirudia(SUPPLIMENTARY maarufu kama SAP)
Swali langu; je ingekuwa kila uki-SAP somo au KUDISCO wanakata lile joho lako la kuvaa siku ya mahafali, Wengi wetu tungevaa likiwaje???
Nikianza na mimi mwenyewe nahisi Lingebakia kama koti la Suti,
Najua kuna ambao wao yao yangebakia kama Leso, Kaushi, Fulana, vipeperushi tu...
Hebu tujuze wewe lako lingebakiaje/ungevaa likiwaje???
Jumapili njema wakuu just for funy...